Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Wachezaji watapumzika lini? Warudi lini kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuuSisi ndio tutaanza kwa kishindo kikubwa kwa sababu hii ni preseaosn msisahau hili. Baada ya hapa hakutakuwepo na any other serious preseaosn zaidi ya kuwarm up tu kwa ajili ya ligi. Mchezaji anayemiss hapa ni Gittens tu na watakaosajiliwa ambao sio kwa umuhimu
Taarifa zinasema kuwa Chelsea wataenda pre seaosn pale Cobham tu na watacheza na AC Milan na Levakusen . Haya ni kama mazozezi ya kawaida ya kujiandaa na ligi kwa hiyo hakutakuwepo na kusafiori popote