lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Ameshajoin, ameshasain mkataba wa miaka saba na tayari ameonekana akiwa na mazoezi na wenzake leo. Pia Chelsea imeshamtangaza kuwa ameshabatizwa kwa maji ya blue.Mkuu hivi vipi kuhusu Joao Pedro kama amejoin na wenzie Marekani au la!!?