Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwenye mfumo mpya am,bao kocha ameshasema juzi tulipocheza na E. Tunis kuwa Palmer atakuwa RW na Enzo no 10
So mfumo utakuwa hivi

Lineup ni 3-2-4-1

-----------------------Delap/Jackson-----------------------

Gittens/George-----Joao/Santos----Enzo/Estevao------Palmer/Neto

-----Lavia/Cucurella------------------Caicedo/Esugo--------

Anselmino/Colwill/Badiashile---Sarr/Fofana/Tosin----James/Gusto/Josh

-------------------Sanchez/Jorgensen/Penders----------------------
Palmer akiwa winger ni very ineffective, huodari wake ni akiwa nyuma ya CF hivyo huyo kipara asianze vuruga wachezaji ambao wamesettle kwenye number zao
 
Benfica tumemfunga siku mbili mfululizo 😂

Screenshot_20250701-041125.png
 
FT.
Al-Hilal 4
Man City 3

Koulibaly bonge la beki, wakitajwa mabeki bora watatu duniani yeye yumo
Sijui kwa nini Chelsea mambo hajamuendea vizuri. Ila nadhani hakupewa muda wa kuadapt
 
FT.
Al-Hilal 4
Man City 3

Koulibaly bonge la beki, wakitajwa mabeki bora watatu duniani yeye yumo
Sijui kwa nini Chelsea mambo hajamuendea vizuri. Ila nadhani hakupewa muda wa kuadapt
Njia ya Chelsea kuelekea fainali ya Kombe la Dunia la Klabu sasa ni safi kuliko hapo awali.
⚽️Robo fainali dhidi ya Palmeiras
⚽️Nusu fainali dhidi ya Fluminense au Al-Hilal
VIVA Chelsea💙
 
Huyu INZAGHI ni bonge la kocha aisee
Al-Hilal wameleta suprise kubwa sana ya kwanza na ya kipekee wa CWC ya FIFA ya 2025. Walitoka sare na Real Madrid, na tulidhani RM ni wabovu na sasa wameiondoa Manchester City na usajili wote ule alioufanya PEP. Nadhani kiwango cha uchezaji cha Man City kilikuwa cha juu, lakini Isaghi ana mbinu nyingi sana
 
Al-Hilal wameleta suprise kubwa sana ya kwanza na ya kipekee wa CWC ya FIFA ya 2025. Walitoka sare na Real Madrid, na tulidhani RM ni wabovu na sasa wameiondoa Manchester City na usajili wote ule alioufanya PEP. Nadhani kiwango cha uchezaji cha Man City kilikuwa cha juu, lakini Isaghi ana mbinu nyingi sana
Sana huyu jamaa tangu aondoke Inter milan,Inter sasa imeshajifia kabisa,natamani huyu jamaa siku moja aifundishe Chelsea
 
FT.
Al-Hilal 4
Man City 3

Koulibaly bonge la beki, wakitajwa mabeki bora watatu duniani yeye yumo
Sijui kwa nini Chelsea mambo hajamuendea vizuri. Ila nadhani hakupewa muda wa kuadapt
Yeah angepewa muda km ambavyo hatukuwakatia tamaa caicedo n cucurella huenda sahv tungekuwa n beki kiongozi
 
Hapana nimemfatilia tangu akiwa Inter Milani. Inter chini yake ilikuwa inakimbiza mbaya sio kwenye ligi ya ndani hadi mashindano ya nje
Cv yake kama kocha kweli sio ya kutiliwa shaka ila mechi ya Jana ni uwezo binafsi wa kipa ndio umewavusha Hilal wangekuwa na pazia la hekalu Sanchez wangeokota mpira kwenye nyavu si chini ya mara 5
 
Cv yake kama kocha kweli sio ya kutiliwa shaka ila mechi ya Jana ni uwezo binafsi wa kipa ndio umewavusha Hilal wangekuwa na pazia la hekalu Sanchez wangeokota mpira kwenye nyavu si chini ya mara 5
Aliyecheza vizuri sana wala sio kipa
Mimi naona hawa walicheza vizuri sana kwa pamoja
Marcos Leonardo (22) = MOTM alikuwa mwiba kwenye counter attack
Kipa mzee Yassine Bounou (34) - Du, aliizuia mashuti mengio na magoli ya wazi zaidi ya 5/6
Kalidou Koulibaly (34) - Alifanya clearance na tackle nyingi na kufunga bao zuri la kichwa
 
Cv yake kama kocha kweli sio ya kutiliwa shaka ila mechi ya Jana ni uwezo binafsi wa kipa ndio umewavusha Hilal wangekuwa na pazia la hekalu Sanchez wangeokota mpira kwenye nyavu si chini ya mara 5
Nachopenda mpira wake mbele ya goli la mpinzani analeta madhara sana
 
Cv yake kama kocha kweli sio ya kutiliwa shaka ila mechi ya Jana ni uwezo binafsi wa kipa ndio umewavusha Hilal wangekuwa na pazia la hekalu Sanchez wangeokota mpira kwenye nyavu si chini ya mara 5
Sanchez kwenye kudaka Yuko vizuri sana hapa unamuonea shida yake ni individual errors only
 
🚨 BREAKING:
Liverpool 🔴, Man City 🔵, Man United 🔴, na Arsenal 🔴 wametaja vikosi vyao watakavyosafiri kwenda Marekani kuangalia Chelsea 🔵 katika Kombe la Dunia la Vilabu QF dhidi ya Palmeiras Ijumaa usiku🌍⚽.
Mtanage huo utafanyika katika katika uwanja wa Lincoln Financial Field ulioko kwenye mji wa Philadelphia, Pennsylvania
Karibuni Majirani wetu
 
🚨 BREAKING:
Liverpool 🔴, Man City 🔵, Man United 🔴, na Arsenal 🔴 wametaja vikosi vyao watakavyosafiri kwenda Marekani kuangalia Chelsea 🔵 katika Kombe la Dunia la Vilabu QF dhidi ya Palmeiras Ijumaa usiku🌍⚽.
Mtanage huo utafanyika katika katika uwanja wa Lincoln Financial Field ulioko kwenye mji wa Philadelphia, Pennsylvania
Karibuni Majirani wetu
Mkuu hivi vipi kuhusu Joao Pedro kama amejoin na wenzie Marekani au la!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom