Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Joao pedro ni forward kabisa wa maana kushinda delap. Tatizo tulipokuwa tunaongoza wachezaji wali luxury tulipofungwa ndio tukawa kama tumetolewa usingizi ball likaanza kupigwa
Tatizo ni kocha average na tunasogea kwa sababu wa uwezo binafsi wa wachezaji
Hao PSG wamejaza full luxury players lakini wanafanya collective pressing na kukuattack muda wote ukae mbali na goli lao
Hii mechi ilikuwa ya kushinda goli 5 kama timu inacheza flowing football
 
Joao Pedro ni baller aisee🔥....na nasikia ni kiraka anaweza akacheza hata nyuma ya striker tunaweza kumtumia kumpumzisha palmer
 
FT. Palmeiras 1–2 Chelsea
Chelsea wameingia Nusu Fainali ambapo watakutana na Fluminense
🔑 Vipengele Muhimu:
  • Estevão Willian, nyota chipukizi wa Chelsea, alifunga goli maridadi dhidi ya Chelsea na kuacha alama licha ya kushindwa mechi.
  • Colwill na Delap wamefungiwa mechi ijayo baada ya kukusanya kadi mbili za njano kila mmoja katika michuano.
  • Moisés Caicedo anatarajiwa kurejea, akiongeza nguvu na usahihi katika kiungo cha Chelsea.
  • Reece James huenda akaukosa mchezo wa nusu fainali kwa sababu ya majeruhi
  • Kuna mhemko wa kipekee: Chelsea watakutana na Thiago Silva, gwiji wa zamani wa klabu hiyo anayewakilisha Fluminense
 
Joao Pedro ni baller aisee🔥....na nasikia ni kiraka anaweza akacheza hata nyuma ya striker tunaweza kumtumia kumpumzisha palmer

João Pedro ni mshambuliaji mwenye uhodari mkubwa, anayejua kucheza karibu kila nafasi ya ushambuliaji:

⚽ Anaweza kucheza nafasi zote za Mbele kama vile:
  • Winga wa Kushoto au wa Kulia (LW/RW) – ana kasi na ustadi wa kuingia katikati ya uwanja.
  • Namba 10 au CAM – mbunifu anayesambaza mipira na kusuka mashambulizi.
  • Striker / Mshambuliaji wa Kawaida – anajua kufunga kwa ufanisi.
  • Second Striker – anacheza karibu na mshambuliaji mkuu, akitoa msaada na kuunda nafasi.
  • False 9 – anashuka kati kuteka mabeki na kufungua nafasi kwa wengine.
  • Target Man – ni lengo kuu kwa mipira ya juu na mipira mirefu kutoka nyuma.
  • Poacher – mtaalamu wa kufunga ndani ya boksi kwa uangalifu wa haraka.
  • Mobile Striker – anatembea kote akivuruga mabeki na kuunda fursa.
  • Pressing Forward – husumbua mabeki kwa presha na kurudi kusaidia timu.
  • Shadow Striker – huibuka kutoka nyuma na kushambulia kwa kasi, bila kutarajiwa.
 
Joao Pedro amecheza kama hakuwa holiday kama ataendelea hivi Jackson na Delap wajiangalie
Nkuku ni mzoga unaoishi
Partner world class wa kucheza na Colwill anahitajika

Madueke always end product ni poor na ujio wa Estevao Arsenal walete hela tu
Lavia na James wamekuwa na bahati mbaya ya majeruhi na niwacheza quality tunaokuwa kunawakosa mara kwa mara

So far kaugonjwa ka 1 bila na kupoa bado kamejaa kwenye DNA
 
Joao Pedro amecheza kama hakuwa holiday kama ataendelea hivi Jackson na Delap wajiangalie
Nkuku ni mzoga unaoishi
Partner world class wa kucheza na Colwill anahitajika

Madueke always end product ni poor na ujio wa Estevao Arsenal walete hela tu
Lavia na James wamekuwa na bahati mbaya ya majeruhi na niwacheza quality tunaokuwa kunawakosa mara kwa mara

So far kaugonjwa ka 1 bila na kupoa bado kamejaa kwenye DNA
Pedro si lazima acheze Striker
Ila mushindani utakuwa mwingi sana na ndio amana Madueke yeye anawahi Arsenal pasaipo na ushindani mkubwa pale, Saka ni injury prone yeye anajua atapiga mwingi huko
 
Jamie Gittens alikuwepo leo uwanjani akiangalia jinsi timu yake mpya inavyotandaza kabumbu.

Enzo Maresca kwenye Jamie Gittens:

"Jamie alikuwa hapa usiku wa leo, alikuwa uwanjani na atakuwa nasi kwa siku moja zaidi kisha ataenda likizo."
1751687351725.png
 
João Pedro amekuwepo tu kama siku tatu tu katika dressing room ya Chelsea na tayari anaonekana kama gwiji ambaye amekuwa hapo kwa muongo mmoja.
 
Cole Palmer aliongea na Estevao Willian kuwa wanafurahi kwa yeye kujiunga na Chelsea lakini hakuelewa hata neno moja. Kijan atakuwa ni mzembe sana, muda wote alikuwa nao wa kujiunga na English classes lakini bado haelewi kimombo

Palmer: “I told Estevao we are excited for you to join, but he didn’t understand a single word I said”

1751689230488.png
 
João Pedro ni mshambuliaji mwenye uhodari mkubwa, anayejua kucheza karibu kila nafasi ya ushambuliaji:

⚽ Anaweza kucheza nafasi zote za Mbele kama vile:
  • Winga wa Kushoto au wa Kulia (LW/RW) – ana kasi na ustadi wa kuingia katikati ya uwanja.
  • Namba 10 au CAM – mbunifu anayesambaza mipira na kusuka mashambulizi.
  • Striker / Mshambuliaji wa Kawaida – anajua kufunga kwa ufanisi.
  • Second Striker – anacheza karibu na mshambuliaji mkuu, akitoa msaada na kuunda nafasi.
  • False 9 – anashuka kati kuteka mabeki na kufungua nafasi kwa wengine.
  • Target Man – ni lengo kuu kwa mipira ya juu na mipira mirefu kutoka nyuma.
  • Poacher – mtaalamu wa kufunga ndani ya boksi kwa uangalifu wa haraka.
  • Mobile Striker – anatembea kote akivuruga mabeki na kuunda fursa.
  • Pressing Forward – husumbua mabeki kwa presha na kurudi kusaidia timu.
  • Shadow Striker – huibuka kutoka nyuma na kushambulia kwa kasi, bila kutarajiwa.
Sawa... lakini kama hatokuwa anapachika magoli ni kazi bure kama huko Brighton
 
Brighton haijawahi kutuuzia wachezaji vimeo ndio tunaponunua sasa wachezaji makini kutoka hapo JP, cuculera, colwill, caisedo na sanchez wametoka hapo
 
Daah nimeamka sa 9 dakika 50 nimeangalia game kwa makini sana. Aseeh nakiri wazi leo katika hii era ya wamiliki wapya hatutapata kocha Pochetino. Maresca kimbinu kabisa laiti kama Poch angepata hawa wachezaji tusingekua tunaangalia mpira roho mkononi.
 
Hivi wachezaji huwa hawajifunzi kabisa kupitia makosa ya wenzao? Kiukweli kabisa huyu dogo Delap leo kanikera sana. Unafanyaje mafoul yasiyo na msingi mpaka kupelekea kupata kadi vile. Unaona kabisa mwenzako tena mshindani wa nafasi anafanya vibaya badala ujiimarishe baada ya kupata nafasi wewe ndio kwanza unaenda kuboronga. Kocha alitakiwa kumchukulia hatua baada ya kipindi cha kwanza kuisha asingerudi uwanjani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom