Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chezaji la dunia 😂😂😂
Screenshot_2025-06-20-23-25-45-101_com.sofascore.results-edit.jpg
 
Suala la nidhamu ya wachezaji kocha ameshindwa kudeal nalo, nitakua wa mwisho kuamini uyu kocha aliepewa hii project ni mtu sahihi!
 
Nilijua tu, Flamengo ni moja ya timu nzuri sana.
Maresca ndie kawafanya waonekane wazuri kwa Chelsea. Poor lineup, poor subs kila kitu leo hovyo
Unamchezesha RB bora kabisa duniani kwenye kiungo wakati una Esugo na Santos wamekalia benchi. Saa nyingine inabidi mahakama ya soka ianzishwe na mashabiki tupewe haki ya kuwashitaki mahakamani hawa makocha wanakuja kujaribishia akili yao duni kwenye mechi muhimu kama hizi
 
Poleni THE BLUES kwa kupokea kipigo. Sikufanikiwa kuangalia mechi ila lazima kocha wetu Boflo kazingua.
Kazingua hadi yeye mwenyewe leo ni aibu tu hawezi kunyanyua kichwa
Santos yuko na Esugo, viungo wazuri unakuja kumuweka James RB mzuri duniani acheze kiungo
Nilipomuona tu Gusto yuko na Palmer RW nikajua leo tunachemsho utumbo
 
Kazingua hadi yeye mwenyewe leo ni aibu tu hawezi kunyanyua kichwa
Santos yuko na Esugo, viungo wazuri unakuja kumuweka James RB mzuri duniani acheze kiungo
Nilipomuona tu Gusto yuko na Palmer RW nikajua leo tunachemsho utumbo
Dah kwa kweli mkuu kwa talent ya wachezaji tulizonazo tunatakiwa tupate kocha aina ya Luis Enrique. Kocha mwenye uwezo wa kutumia vipaji, mbinu/style bora za kiuchezaji.

Chini ya Boflo Usishangae Estavao akashindwa kushine akatolewa mkopo.
 
Kocha la majiribio linajiandaa na msimu ujao kwa kishindo ni mwendo wa trial and error tu
 

Attachments

  • Screenshot_20250621_004041_LiveScore.jpg
    Screenshot_20250621_004041_LiveScore.jpg
    694 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom