Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ule ujinga wa kutoa mikataba ya miaka saba utaanza kubackfire kwenye hichi kikundi cha mipasho
 
Kwa namana gani mtaalamu
Inakua gharama kuwavunjia mikataba wachezaji mizigo kwakua wapo wengi.

Inabidi muuze kukwepa gharama. Ndiyo hivi mchezaji mlinunua 72M mpo radhi kuuza kwa 5M
 
Inakua gharama kuwavunjia mikataba wachezaji mizigo kwakua wapo wengi.

Inabidi muuze kukwepa gharama. Ndiyo hivi mchezaji mlinunua 72M mpo radhi kuuza kwa 5M
Wana mishahara midogo, ni rahis kuwauza kuliko unavyofikiri, Headache inakuwa kwa wachezaji kama Sterling, Lukaku tulipata shida sana. Hawa wa elfu 90 kuwauza ni mara moja tu
 
Leo tunakutana na
Fillipe Luiz LB wetu wa zamani- kocha wa Flamengo
Jorginho kiungo wetu wa majuzi tu - kiungo wa sasa wa Flamengo

1750437989775.png
 
Website ya Chelsea inasema Gusto atacheza kama LW leo
Chelsea vs Flamengo
4-2-3-1
Lineup
----Delap----

Gusto-Palmer-Neto

---Enzo ----Caicedo---

Cucurella-Colwill-Chalobah-James

-----Sanchez ------

Bench
1) Jorgensen
2) Adarabioyo
3) Badiashile
4) Anselmino
5) Acheampong
6) Sarr
7) Essugo
8) Dewsburry-Hall
9) Santos
10) Lavia.
11) George
12) Madueke
13) Guiu
14) Nkunku
15) Jackson
 
Ila Sanchez sio kipa yaani anakitete ile mbaya me nikajua atakifanyia kazi lakini wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom