Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arsenal wanamtaka Noni Madueke [@Matt_Law_DT]

Baada ya kusikia kuwa Chelsea wanamuuza Noni Madueke, Arsenal wamejitokeza wanmtaka.
Tuwapige dola ngapi jamani.


1750359551204.png
 
Arsenal wanamtaka Noni Madueke [@Matt_Law_DT]

Baada ya kusikia kuwa Chelsea wanamuuza Noni Madueke, Arsenal wamejitokeza wanmtaka.
Tuwapige dola ngapi jamani.


View attachment 3376189
Kwa maoni yangu Mimi madueke ni mchezaji mzuri ana nguvu, Kasi na anajua kulazimisha mashambulizi sema shida yake ipo kwenye final product ( decision) akiimprove kwenye hili eneo atakuwa ni mchezaji hatari
 
Naona unajaribu kuforce james awe kundi moja na akina Ode! basi sawa.
Kwenye ishu ya mchezaji wa mpira wa miguu kua shoga haijawahi kua verified news. Kwenye hii ishu wote tutatumia rumours kama wewe una verified info lete.

Tabia ya kuplay victim ni janga
 
Arsenal wanamtaka Noni Madueke [@Matt_Law_DT]

Baada ya kusikia kuwa Chelsea wanamuuza Noni Madueke, Arsenal wamejitokeza wanmtaka.
Tuwapige dola ngapi jamani.


View attachment 3376189
Madueke anawekwa benchi timu ya taifa na Saka.

Halafu aende Arsenal awekwe benchi na klabu? Uwe unafikiria siyo kila unachosoma unakibeba tu.

Huyu abaki hapo kwakua timu ya taifa anamuweka benchi Cole so ana angalau nafasi ya kupata game time
 
Kwa maoni yangu Mimi madueke ni mchezaji mzuri ana nguvu, Kasi na anajua kulazimisha mashambulizi sema shida yake ipo kwenye final product ( decision) akiimprove kwenye hili eneo atakuwa ni mchezaji hatari
Huyo hataimarika, anapenda sana kumaliza kila kitu yeye hata kama anao wenzake kwenye position nzuri
Mfumo wa Maresca unataka wachezaji wanajua kuwachezesha wenzao
Jana alisema kwa kurudia tena
Anapendelea wachezaji wanne wenye kufunga magoli 10 kila mmoaj kuliko mchezaji mmoaj mwenye kufunga magoli 40. Kasema anapenda kuona kila mshambuliaji anatengeneza nafasi, anatoa assist na anafunga. Kwa sifa hizo Madueke hana, kwa sababu haoni wenzake akiwa na mpira, halafu hakabi, akipoteza mpira anawaachia wengine wafukuze mpira. Ujio wa Estevao Willian na usajili wa winga mwingine, uwepo wa Nicolas Jackson unatosha kabis akuwa sababu ya Madueke kuuzwa
 
Madueke anawekwa benchi timu ya taifa na Saka.

Halafu aende Arsenal awekwe benchi na klabu? Uwe unafikiria siyo kila unachosoma unakibeba tu.

Huyu abaki hapo kwakua timu ya taifa anamuweka benchi Cole so ana angalau nafasi ya kupata game time
Usajili wa Kepa umefikia wapi kwanza acha kudengua kama manzi
Arsenal ni dampo la Chelsea siku zote wewe unaringa wala huna cha kuringisha
Arsenal kila wakati ipo foleni ya kula makapi ya Chelsea
 
Mkakati wa Botafogo dhidi ya PSG ni mbinu sahihi ya kukabiliana na high pressing ya PSG. Kulinganisha presisng yao ndio siri ya kuwashinda PSG.
FT
Botafogo 1
PSG 0
 
Dalili zote zinaonyesha kwamba hatutakutana na PSG katika robo fainali lakini tunaweza kukutana na
  1. Botafogo,
  2. Inter Miami, au
  3. Palmeiras, na Estevão Willian.
  4. 1750392655273.png
 
Usajili wa Kepa umefikia wapi kwanza acha kudengua kama manzi
Arsenal ni dampo la Chelsea siku zote wewe unaringa wala huna cha kuringisha
Arsenal kila wakati ipo foleni ya kula makapi ya Chelsea

Jibu swali acha kuruka ruka we chura wa kihansi.

Anawekwa benchi timu ya taifa ataenda na klabu akawekwe benchi na huko?

Unamchukulia Madueke mjinga mjinga kama wewe na kubeba kila taarifa? Aliyekwambia Arsenal inanunua Kepa nani?
 
Jibu swali acha kuruka ruka we chura wa kihansi.

Anawekwa benchi timu ya taifa ataenda na klabu akawekwe benchi na huko?

Unamchukulia Madueke mjinga mjinga kama wewe na kubeba kila taarifa? Aliyekwambia Arsenal inanunua Kepa nani?
Arteta anammind sana Madueke kama alivyommind sana Kepa
 
Huyo hataimarika, anapenda sana kumaliza kila kitu yeye hata kama anao wenzake kwenye position nzuri
Mfumo wa Maresca unataka wachezaji wanajua kuwachezesha wenzao
Jana alisema kwa kurudia tena
Anapendelea wachezaji wanne wenye kufunga magoli 10 kila mmoaj kuliko mchezaji mmoaj mwenye kufunga magoli 40. Kasema anapenda kuona kila mshambuliaji anatengeneza nafasi, anatoa assist na anafunga. Kwa sifa hizo Madueke hana, kwa sababu haoni wenzake akiwa na mpira, halafu hakabi, akipoteza mpira anawaachia wengine wafukuze mpira. Ujio wa Estevao Willian na usajili wa winga mwingine, uwepo wa Nicolas Jackson unatosha kabis akuwa sababu ya Madueke kuuzwa
Madueke ana miaka 23 bado ana room ya kujifunza inabidi avumiliwe trust me Madueke akiimprove kwenye eneo la decision making hata huyo Estevao hamfikii
 
Kwenye ishu ya mchezaji wa mpira wa miguu kua shoga haijawahi kua verified news. Kwenye hii ishu wote tutatumia rumours kama wewe una verified info lete.

Tabia ya kuplay victim ni janga
Flano njoo kuna screen shot inahitajika.
 
Madueke ana miaka 23 bado ana room ya kujifunza inabidi avumiliwe trust me Madueke akiimprove kwenye eneo la decision making hata huyo Estevao hamfikii
Mchezaji anayehitaji mechi 150 kuimarika sio standard ya timu inayofikiria ubingwa
Huyo Madueke kapewa nafasi ya kutosha lakini badala graph ipande ndio kwanza inashuka
Tatizo sio umri Tatizo huwa ni matumizi ya nafasi mchezaji mwenye zaidi ya mechi 50 EPL alitakiwa awe na improvement angalau ya 60% ya kipaji chake lakini Madueke wa PSV ndio huyuhyu wa leo
 
Mchezaji anayehitaji mechi 150 kuimarika sio standard ya timu inayofikiria ubingwa
Huyo Madueke kapewa nafasi ya kutosha lakini badala graph ipande ndio kwanza inashuka
Tatizo sio umri Tatizo huwa ni matumizi ya nafasi mchezaji mwenye zaidi ya mechi 50 EPL alitakiwa awe na improvement angalau ya 60% ya kipaji chake lakini Madueke wa PSV ndio huyuhyu wa leo
Madueke ana magoli 7 na assists 3 kwenye mechi 32. Ukiondoa ile hatrick Madueke ni winga wa goli 3 hadi 5 kwa mwaka
Achilia mbali takwimu, Madueke hana impact yeyote kwenye mechi kwa sababu hatengenezi nafasi, sio team player, hakabi. Ukitaka kujua kocha kamchoka, Chelsea sasa hivi kipaumbele chake ni kusajili winga wawili na sio kwa sababu ya Mudryk ila kwa sababu mawinga walioko hawafikii kiwango cha kocha
Pedro yeye anaadvantage ya Madueke mbili
1) Anawaona wenzake na kupasi mpira
2) anakaba sana na huwezi kumuona uwanjani kakaa tu kuzubaa kama Madu
 
Mchezaji anayehitaji mechi 150 kuimarika sio standard ya timu inayofikiria ubingwa
Huyo Madueke kapewa nafasi ya kutosha lakini badala graph ipande ndio kwanza inashuka
Tatizo sio umri Tatizo huwa ni matumizi ya nafasi mchezaji mwenye zaidi ya mechi 50 EPL alitakiwa awe na improvement angalau ya 60% ya kipaji chake lakini Madueke wa PSV ndio huyuhyu wa leo
Na ubishoo uliopitiliza, unamuharibia. Yeye mwenyewe anajiona bonge moja la winga duniani hakuna.
 
Mchezaji anayehitaji mechi 150 kuimarika sio standard ya timu inayofikiria ubingwa
Huyo Madueke kapewa nafasi ya kutosha lakini badala graph ipande ndio kwanza inashuka
Tatizo sio umri Tatizo huwa ni matumizi ya nafasi mchezaji mwenye zaidi ya mechi 50 EPL alitakiwa awe na improvement angalau ya 60% ya kipaji chake lakini Madueke wa PSV ndio huyuhyu wa leo
But recently amekuwa akichezeshwa nafasi si yake kwa namna hiyo hatawezaje kuimprove
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom