Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,780
- 9,148
Halooo! Chuma ya pili.
Sasa kama unakocha wa championship unategemea niniIla Sanchez sio kipa yaani anakitete ile mbaya me nikajua atakifanyia kazi lakini wapi
Lwo palmer anaruka ruka tuu...huyu mwengine anaingiza sub anaanza rukia watuSasa kama unakocha wa championship unategemea nini
Palmer hana anachofanya kwenye RW ila kocha hajui cha kufanya wachezaji out of position kila mechi utafikiri ndio kwanza anaanza msimu
😂😂😂 Halafu eti anajifanya eti ionekane kama amefanya makosa kwa Bahati mbayaUliona wapi mchezaji anaitwa jackson kenge kabisa