Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_20250618-144036.png
 
🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea's Mudryk has been charged with doping and is facing a BAN for up to 4 years.
 

Attachments

  • 20250618_191953.jpg
    20250618_191953.jpg
    174.6 KB · Views: 9
Huyu Mudryk uzuri ni kwamba ana mkataba wa miaka nane yaani hata akifungiwa miaka minne kama sheria inavyosema akimaliza kifungo anakua kabakisha miaka minne mingine.

Mnamtumia mnavyotaka kenge kabisa
 
Kucheza kw3a kasi au slow pia inaendana na game plan. Nilichokiona jana ni kuwa wachezaji sasa wana ball control ya hali ya juu na pia pass acuracy ni kubea. wana pass mpira kwa haraka na kwa kutumia mguiu wowote kuondo predicability ya pasi.
Ule mpira wa kasi tulianza nao mwanzo wa msimu uliopita kwenye ligi ya epl ndio mpira unaotufaa ,sijui ni kwanini Kocha alikuja kubadilisha aisee , na hata ukiangalia takwimu za magoli zilikuwa kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom