Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 720
- 1,314
Akili itakuja siku akivua kitambaa kichwaniMadueke akipata akili ya Neto atafika mbali sana
Akili itakuja siku akivua kitambaa kichwaniMadueke akipata akili ya Neto atafika mbali sana
Kwa nusu saa aliyopata kaonesha kitu..bonge la assistGame nzuri sana. At least ubora umeamua. Jamaa wamekosa magoli kwa uzembe wao.
Delap yuko vizuri hajazingua game yake ya kwanza.
Ila timu inacheza very slow. Hii inawaruhusu timu pinzani kuziba matobo. Mnaona tulipoanza kucheza kwa kuchangamka magoli yaliingia haraka? Timu lazima icheze kiuchangamfu na bila kupoteza mipira ovyo maeneo ya hatari....jana imetokea mara 2....kidogo watoto wapate goli. Lichukue hili mkalitizame.Game nzuri sana. At least ubora umeamua. Jamaa wamekosa magoli kwa uzembe wao.
Delap yuko vizuri hajazingua game yake ya kwanza.
Hili pia huwa naliona linakera sanaIla timu inacheza very slow. Hii inawaruhusu timu pinzani kuziba matobo. Mnaona tulipoanza kucheza kwa kuchangamka magoli yaliingia haraka? Timu lazima icheze kiuchamfu na bila kupoteza mipira ovyo maeneo ya hatari....jana imetokea mara 2....kidogo watoto wapate goli. Lichukue hili mkalitizame.
Ni mbinu za Boflo timu icheze kwa ulimboHili pia huwa naliona linakera sana
Kweli boflo sipati picha tumekutana na Psg kwa ule mpira wao hali itakuwajeNi mbinu za Boflo timu icheze kwa ulimbo
Ukiona mchezaji kabla ya kutoa pasi ananyanyua uso kumwangalia wa kumpa pasi, ujue hapo mchezaji tunae.Kwa nusu saa aliyopata kaonesha kitu..bonge la assist
HAuwezi kucheza with the same momentum katika dakika 90. Kuna muda mnatoka mchezoni ila kuna muda ndio kama ivyo. Nadhani ni kati ya vitu kocha anayohaja kuvifanyia kazi. Ukikutana na timu kama Flamengo inakuadhibuIla timu inacheza very slow. Hii inawaruhusu timu pinzani kuziba matobo. Mnaona tulipoanza kucheza kwa kuchangamka magoli yaliingia haraka? Timu lazima icheze kiuchangamfu na bila kupoteza mipira ovyo maeneo ya hatari....jana imetokea mara 2....kidogo watoto wapate goli. Lichukue hili mkalitizame.
Tuombee asijekupata majeraha au kidudumtu akaivamia namba 9 yake tukaanza kusema ndio yaleyaleKwa nusu saa aliyopata kaonesha kitu..bonge la assist