Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 720
- 1,314
Sancho - Back to Nyumbu
Madueke sio kwa umuhimu - Loan/Sell
Mudyk waruwaru - Sell
Madueke sio kwa umuhimu - Loan/Sell
Mudyk waruwaru - Sell
Jadon Sancho na Chelsea wameshindwana kwenye mshaharaKwamba ndiyo bye bye anarudi Mwantesa Utd na Chelsea ilibaki na pengo lake au unamaanisha nini Mkuu?
Ubinadamu ni kazi/The humanity
Faini ya £5M sio kitu kwa Bank ya Marekani. Tutamkodia na Private jet ya kumrudisha unyumbuni.Jadon Sancho na Chelsea wameshindwana kwenye mshahara
Sacho anataka mshahara usiop[ungua Puni 200k/week
Chelsea wao wako tayari kumpa pauni 130k/week
Sasa Jadon Sancho ndio ametuaga kwenye hiyo screenshot
Chelsea itabidi wailipe Man United fain i ya pauni mil 5
Kweli huwezi kwenda ucl kupambana na kina psg umtegemee Sanchez n petrovic...hapa uongozi wa Chelsea umeongeza uzoefu pia ataleta leadership kwenye hiki kikosi Cha mabarobaro ana miaka29 nadhani n ni captain wa ac Milan km sikosei...tetesi zinasema Dili Lina 60% kukamilikaMike Maignan ndiye kipa sahihi wa UCL, sio Robert Sanchez na sio Petrovic. Ana zaidi ya miaka 5 akicheza kwenye Ligi ya Mabingwa ya UEFAView attachment 3355167
Hatunaga bahati na magolikipa weusi, na ukizingatia amefanana kbs na Onana.Mike Maignan ndiye kipa sahihi wa UCL, sio Robert Sanchez na sio Petrovic. Ana zaidi ya miaka 5 akicheza kwenye Ligi ya Mabingwa ya UEFAView attachment 3355167
Wewe kwako ni mchezaji gani ambaye sio takataka?Huyu Liam Delap ni takataka hakuna mchezaji pale.
Dah huyu sterling auzwe tuu, Ila huyu delap naona tumemsajili mana alitunyoosha vzr 😂Tarehe 4 jun tumekamilisha usajili wa liam delap kutoka ipswich kwa dau la 34£
Dili la kumsajili jadon sancho mazima limecanceliwa..
Tukiwa tunajipanga kumsajili kipa wa ac milan ...
Tukumbuke pia sterling amerud baada muda wa mkopo kuisha pale uyatimani.
Tuendelee kunywa mchuzi...
Dah huyu sterling auzwe tuu, Ila huyu delap naona tumemsajili mana alitunyoosha vzr
Mimi namwamini sana Liam; nilikuwa na mawazo ya kuomba sikumoja asajiliwe na Chelsea...kweli imefanikiwq.Dah huyu sterling auzwe tuu, Ila huyu delap naona tumemsajili mana alitunyoosha vzr 😂
Aliuzwa mount na kisha akasajiliwa palmer mkasema hivyohvyo....embu mrelax kidg Liam ana potential kubwa sana na ni premier league proven Msimu mzima kashawasumbua mabeki km kina Gabriel ingawa timu yake ilikuwa inaonja vipigo ...Werner huyo si alikuwa balaa anakimbizana na lewandoski ligi ya bundesliga magoli 15+ kila msimu tukasema streka si ndo huyu mwisho wa siku mechi yake ya kwanza na Brighton akasema ligi ya uingereza Ina mabeki warefu🤣Delap amna kitu mle ,,,, ,,naona bei yake nzuri tu pengine
Bora mngetafuta proven kama ohsmen, victor goyk, ssesko n.k !!!
Ligi kuu ya uingereza kwa hizi timu top 4/6, kama unataka kucompete vikombe vikubwa huhitaji mchezaji potential , bali proven!!!! Wewe una nwaneri, sijui mainoo, hojlund, Rico Lewis, ama Jackson unasema eti tumvumilie ni potential, hakuna kitu kama hicho kama unataka kushinda unamchukua mtu kazi !Aliuzwa mount na kisha akasajiliwa palmer mkasema hivyohvyo....embu mrelax kidg Liam ana potential kubwa sana na ni premier league proven Msimu mzima kashawasumbua mabeki km kina Gabriel ingawa timu yake ilikuwa inaonja vipigo ...Werner huyo si alikuwa balaa anakimbizana na lewandoski ligi ya bundesliga magoli 15+ kila msimu tukasema streka si ndo huyu mwisho wa siku mechi yake ya kwanza na Brighton akasema ligi ya uingereza Ina mabeki warefu🤣