John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Sasa Ndo ukubaliane na sera mpya ya Chelsea na umiliki mpya .km unamtaka proven striker kina osimhen wakubali kwenda na wage structure ya Chelsea la sivyo aende zake arabuni ....n.k. hii Chelsea mpya sio Enzi za roman abrahamovic and by the way ligi ya epl iheshimiwe unaweza kuwa proven huko ulipotoka ukaja epl ukasanda ..mfano kina falcao, higuain, lukaku ,Werner , dimaria ,balotelli n.k.Ligi kuu ya uingereza kwa hizi timu top 4/6, kama unataka kucompete vikombe vikubwa huhitaji mchezaji potential , bali proven!!!! Wewe una nwaneri, sijui mainoo, hojlund, Rico Lewis, ama Jackson unasema eti tumvumilie ni potential, hakuna kitu kama hicho kama unataka kushinda unamchukua mtu kazi !