Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu wanashangilia kama wamebeba ubingwa vile? Yaani tabia za Arsenal kabisa hizi za kushangilia nafasi ya 4, Yaani hata liva waliobeba ubingwa hawajashangilia Hivyo!
Mlitaka hii timu ya watoto wa Boehly ibebe ubingwa wa EPL, muwe halisia basi. Tunashangilia timu ya watoto kukomaa kiasi cha kuweza kushirikli UCL mwakani ili hata akina Estevao Willian wakija wapate kushiriki mashindano ya heshima.
Kumbuka pia kuwa hakuna bilioni moja iliyotumika hata milioni mia 4 hazifiki. Kwa wanaojua mahesabu hizo pesa zimegawanywa kwenye installment na sajili hizi ni za miak mingi ijayo. Mimi niko positive, nilikuwa na wasiwasi na kocha tu na bado ninao kwa sababu ni mjuaji sana huku hajui mambo mengi ya ukocha. Mtu ambaye hata kwenye press confrence hawezi kuongea!
 
Mlitaka hii timu ya watoto wa Boehly ibebe ubingwa wa EPL, muwe halisia basi. Tunashangilia timu ya watoto kukomaa kiasi cha kuweza kushirikli UCL mwakani ili hata akina Estevao Willian wakija wapate kushiriki mashindano ya heshima.
Kumbuka pia kuwa hakuna bilioni moja iliyotumika hata milioni mia 4 hazifiki. Kwa wanaojua mahesabu hizo pesa zimegawanywa kwenye installment na sajili hizi ni za miak mingi ijayo. Mimi niko positive, nilikuwa na wasiwasi na kocha tu na bado ninao kwa sababu ni mjuaji sana huku hajui mambo mengi ya ukocha. Mtu ambaye hata kwenye press confrence hawezi kuongea!
Namsubiri kesho. Nione atafanya nini kwenye Conference final na Betis
 
Kwa mabilioni tuliyotumia kuwekeza kununua wachezaji lori 6 na nafasi tuliyomaliza EPL haviendani. Kiuchumi tunaendelea kupata hasara
Mkuu nadhani umesahau kuwa faida haipatikani kwa kubeba makombe tu, hata kuwauza hao wachezaji baadae nayo itakuwa faida muhimu tutaangalia UCL na timu yetu ikiwemo hiyo ni nafasi ya kuwatangaza wachezaji wetu kwa ajili ya biashara baadae na vilevile kuwakomaza kwa ajili ya kuitumikia timu kwa viwango vizuri
 
Mlitaka hii timu ya watoto wa Boehly ibebe ubingwa wa EPL, muwe halisia basi. Tunashangilia timu ya watoto kukomaa kiasi cha kuweza kushirikli UCL mwakani ili hata akina Estevao Willian wakija wapate kushiriki mashindano ya heshima.
Kumbuka pia kuwa hakuna bilioni moja iliyotumika hata milioni mia 4 hazifiki. Kwa wanaojua mahesabu hizo pesa zimegawanywa kwenye installment na sajili hizi ni za miak mingi ijayo. Mimi niko positive, nilikuwa na wasiwasi na kocha tu na bado ninao kwa sababu ni mjuaji sana huku hajui mambo mengi ya ukocha. Mtu ambaye hata kwenye press confrence hawezi kuongea!
Duh aisee we unafundisha timu gan 🤣
 
Lavia fainali atacheza ila medali hapati ila mudryk anapata medali hii imekaaje mbona sio sawa kabisa lembu
Screenshot_20250528-094623_Facebook.jpg
 
Lavia fainali atacheza ila medali hapati ila mudryk anapata medali hii imekaaje mbona sio sawa kabisa lembu
View attachment 3348386
Wale wote ambao hawakujasajiliwa kwenye hayo mashindano akiwemo Romeo Lavia obviously hawawezi kupewa medal kwa sababu hawatambuliwi kama wachezaji wa Chelsea inayoshiriki Conference league
Mudryk yeye alisajiliwa na kwa vile hukumu yake ya dopping case bado haijatolewa, kwa sheria za UEFA anastahili kupewa medal
 
Wale wote ambao hawakujasajiliwa kwenye hayo mashindano akiwemo Romeo Lavia obviously hawawezi kupewa medal kwa sababu hawatambuliwi kama wachezaji wa Chelsea inayoshiriki Conference league
Mudryk yeye alisajiliwa na kwa vile hukumu yake ya dopping case bado haijatolewa, kwa sheria za UEFA anastahili kupewa medal
Kama Lavia hakusajiliwa na mfumo kwanini Sasa anaruhusiwa kucheza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom