Tukifungwa itabidi tuombe Forest wapoteze point kwa Leicester city. Chelsea ssisis tutajitetea kwa kwa wale Nyumbu wa Serenegti na Forest. Chelsea ikifungwa leo na Forest wakafungwa au kudroo bado tutakuwa kwenye Nafasi ya 5 kwa wingi wa GD dhidi ya Aston Villa. Kumbuka New Castle wana Arsenal na Everton. Lazima mmoja atampin dulia meza hapo. Forest akishinda leo watafanya tu fainali ya tarehe 25 May kuwa ngumu zaidi. Ila Chelsea tukishinda leo, fainali hiyo inakuwa rahisi sana na pengine ikawa kukamilisha ratiba tu. Chelsea hoyee!
Mechi ya leo tunadroo au kushinda
Mechi na Man United tunashinda na kufikisha points 69, mechi na Forest tunadroo na business will be over for 2024/25
View attachment 3330471