Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Daah timebakiza mechi ngapi tucheze uefa msimu ujao?? Leo nimeona game kidogo tumecheza vizuri, sikujua Kuna game nimekutananayo tuu kimazabe ..Sasa zimebaki game ngap tuyingie top Foo rasmi??
 
Daah timebakiza mechi ngapi tucheze uefa msimu ujao?? Leo nimeona game kidogo tumecheza vizuri, sikujua Kuna game nimekutananayo tuu kimazabe ..Sasa zimebaki game ngap tuyingie top Foo rasmi??
Lakn mlikuwa mnacheza na aliye tangaza ubingwa
 
Cole Palmer: "Mitandao ya kijamii siku hizi imejaa wapumbavu, watu wa kejeli na mambo kama hayo. Mimi siwasikilizi."

1746382798887.png
 
Leo Liverpool kacheza kwa ku relax sio ule mpira wake wa mambio full kukimbizana kama vile kalipa fadhila ya mwaka 2019 tuliompa kombe. OllaChuga Oc tumebakiza game tatu ila tukishinda mbili tutakuwa tumejiakikishia nafasi ya 5 kwenda uefa game zenyewe tunacheza na man u, Nottingham na Newcastle
 
Leo Liverpool kacheza kwa ku relax sio ule mpira wake wa mambio full kukimbizana kama vile kalipa fadhila ya mwaka 2019 tuliompa kombe. OllaChuga Oc tumebakiza game tatu ila tukishinda mbili tutakuwa tumejiakikishia nafasi ya 5 kwenda uefa game zenyewe tunacheza na man u, Nottingham na Newcastle
Pia Chelsea walikuwa serious mno, hiyo relax ya Liverpool iliwafanya wachezebila tahadhari na wamecheza vizuri kuliko tulipocheza nao0 mechi ya kwanza
 
Leo Liverpool kacheza kwa ku relax sio ule mpira wake wa mambio full kukimbizana kama vile kalipa fadhila ya mwaka 2019 tuliompa kombe. OllaChuga Oc tumebakiza game tatu ila tukishinda mbili tutakuwa tumejiakikishia nafasi ya 5 kwenda uefa game zenyewe tunacheza na man u, Nottingham na Newcastle
Kwa hiyo liva amewaachia chelsea wawafunge? Aiseee!!! Mbona kama walitaka walimwage sare ikashindikana.
Kumbe hayo mambo yapo kwnye mpira?
 
Bila Lavia kuumia tusingekuwa Sasa tunagombania big 4 tungekuwa tupo top 2 jamaa anaipa Chelsea utulivu mkubwa na anawafanya wachezaji wengine wawe huru
 
Leo Liverpool kacheza kwa ku relax sio ule mpira wake wa mambio full kukimbizana kama vile kalipa fadhila ya mwaka 2019 tuliompa kombe. OllaChuga Oc tumebakiza game tatu ila tukishinda mbili tutakuwa tumejiakikishia nafasi ya 5 kwenda uefa game zenyewe tunacheza na man u, Nottingham na Newcastle
Liverpool walicheza vizuri zaidi jana ukilinganisha na mechi zao za awali. Walikuwa watulivu na hawakuwa na cha kupoteza. Walitekeleza mpango wao wa mchezo vyema. Mara ya mwisho tulipocheza dhidi yao, walikuwa na wasiwasi na walichukua tahadhari sana. Sisi tulikuwa timu bora; wao walikuwa na bahati tu ya kushinda.
 
Madueke amekuwa wa hatari sana baada ya kocha kumuhamishia upande wa winga wa kushoto. Naona uongozi unaweza kuachana na mpango wao wa kumsajili winga mpya wa kushoto badala ya Mudryk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom