Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huu ni msimu ambao sikutarajia chochote
Sio msimu huu tu hata ijayo itakuwa hivyo hivyo Kama unashindwa kuchukua ubingwa ikawa man city Yuko ovyo, chelsea Yuko goi goi, man u Kama unavyojua wewe kuja kuchukua Tena sahau
 
Sio msimu huu tu hata ijayo itakuwa hivyo hivyo Kama unashindwa kuchukua ubingwa ikawa man city Yuko ovyo, chelsea Yuko goi goi, man u Kama unavyojua wewe kuja kuchukua Tena sahau
City yuko ovyo halafu Arsenal tukoje?

City imepotea kisa hayupo Rodri.

Kwa Arsenal nani na nani hawapo?
 
Kwenye pitapita huko mitandaoni, nkakutana na Kai anasema anafurahi kushinda UCL Ila kushinda na Arsenal ni furaha kubwa, hawa wapigwe tuu 😎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom