Man u 99% wanaweza kubeba ila sisi na Arsenal dah! mpk mungu aweke mkono wake! ..... tatizo kocha wetu hana utimamu, utashangaa leo james ndio anapewa dimba wakati hata kupga pasi za mbele hawezi.Kuna uwezekana makombe yote ya bara ulaya kwa level ya vilabu zikarejea England msimu huu kama wakichanga karata zao vizuri japo wasiwasi ipo kwa upande wa Arsenal make wana matani mengi sana na vikombe.
Naona uwezekano ni mkubwa kwa manyumbu na nyie. Sisi, kama alkvyosema mkuu, tuna matani sana na makombe.Man u 99% wanaweza kubeba ila sisi na Arsenal dah! mpk mungu aweke mkono wake! ..... tatizo kocha wetu hana utimamu, utashangaa leo james ndio anapewa dimba wakati hata kupga pasi za mbele hawezi.
Kenge maji,,,next season hakuna UCL, kosi la B ngapi vileWewe unayemfuatilia sana kenge lazima utakuwa na wewe kenge
Nyie kubeba hamuwezi 100%, tunza hii comment. nyie wenyewe mnajua Arsenal ipo hapa duniani ili kuteseka.Naona uwezekano ni mkubwa kwa manyumbu na nyie. Sisi, kama alkvyosema mkuu, tuna matani sana na makombe.
Hata leo timu ya msimu ikipangwa huyo mpiga nyeto atakuwepoWe need a serious discussion!!! Mpiga nyeto Palmer mara ya mwisho ame-score au ku-assist lini ? Huyu ndie mlikuwa mnamfananisha na kina Yamal ? Jamal ? Mipenati kibao mnaona tayari ni mtoto wa maajabu kumbe furushi la mzigo
Kwani wewe huna akili mpaka utake group discussionWe need a serious discussion!!! Mpiga nyeto Palmer mara ya mwisho ame-score au ku-assist lini ? Huyu ndie mlikuwa mnamfananisha na kina Yamal ? Jamal ? Mipenati kibao mnaona tayari ni mtoto wa maajabu kumbe furushi la mzigo
Hata sijui manyumbu akina Flano wanafanya nini hapo kwenye hiyo list.Mechi zilizobakia ni zakucheza kufa na kupona maana zote ni za kugombania kuingia uefa
Chelsea vs Liverpool
Newcastle vs Chelsea
Chelsea vs Man U
Nottingham Vs Chelsea
Tukizichanga karata zetu vizuri na kucheza kitimu tunatoboa japokuwa sio mechi za kubeza nimechi kweli ngumu sana kama kupanda mlima mrefu