Njoo update mkeka wako wa utabiri ila kumbuka mechi za kushinda zimeshaishaHatuwezi kupoteza mechi hizi isipokuwa Maresca abuni mpango wa mchezo wenye utata ambao vijana hawa hawataweza kuutekeleza ipasavyo.
Mechi zilizobaki
Tunaweza pata Pointi 17 kwenye hizo mechi ambazo zitaongezwa kwenye 49 zilizopo zitaleta jumla ya 66, zinazotosha kuhakikisha nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi.
- Jumapili, Machi 16: Arsenal (Ugenini) - Sare
- Jumatano, Aprili 2: Tottenham Hotspur (Nyumbani) - Ushindi
- Jumamosi, Aprili 5: Brentford (Ugenini) - Ushindi
- Jumamosi, Aprili 12: Ipswich Town (Nyumbani) - Ushindi
- Jumamosi, Aprili 19: Fulham (Ugenini) - Sare
- Jumamosi, Aprili 26: Everton (Nyumbani) - Ushindi
- Jumamosi, Mei 3: Liverpool (Nyumbani) - Hasara
- Jumamosi, Mei 10: Newcastle United (Ugenini) - Sare
- Jumapili, Mei 18: Manchester United (Nyumbani) - Sare
- Jumapili, Mei 25: Nottingham Forest (Ugenini) - Sare
Ikiwa tutashinda dhidi ya Newcastle United, Manchester United, na Forest, tutapanda hadi nafasi ya pili au ya tatu kwenye ligi tukiwa na jumla ya pointi 72.
Kwa ukumbusho: Chelsea ilimaliza msimu uliopita katika nafasi ya sita ikiwa na pointi 63.
View attachment 3271945
Ninyi mizoga sasa mnanuka, mmeshindwa kubeba kombe wakati Chelsea iko ICU ngoja sasa tunakuja na nguvu mpya mwakaniKuna pimbi mwenzenu alisema mnaitaka nafasi ya pili hivi nyinyi kenge mnahisi mpira ni unyayo kila mtu anao?
Licha ya hivyo, ile timu inahitaji kocha mwehumwehu kama morinho au simeon wa kuwajaza wale madogo upepo wavimbe vichwa wapige kazi maana kama talent wako nayo kila eneoHuwezi kumaliza top four kiungo wako ni garasa caicedo
Tafuteni wachezaji wa kueleweka
Sasa hivi mpo EPL tu mnashindwa maintain, huo msimu ujao mtakua kwenye tournament zaidi ya moja na unaona mtakua on fire hadi unataka mkabidhiwe makombe kabisa?Ninyi mizoga sasa mnanuka, mmeshindwa kubeba kombe wakati Chelsea iko ICU ngoja sasa tunakuja na nguvu mpya mwakani
--------------------Delap------------------------
Neto ----------------Palmer---------------Estevao
-----------Santos --------------Caicedo----------
Cucurella --------Colwill -----Guehi --------James
--------------------Petrovic----------------------
Mtabidi mtupe hayo makombe kabla hatujaanza kutembeza mkong'oto kwa kila timu
Usijipe matumain makubwa sana mkuu usije ukapata kisukari buree, mana kama kocha ni huyu huyu maumivu yapo pale pale, tena kuna uwezekano msimu ujao ukawa wa kupambania tusishuke.Ninyi mizoga sasa mnanuka, mmeshindwa kubeba kombe wakati Chelsea iko ICU ngoja sasa tunakuja na nguvu mpya mwakani
--------------------Delap------------------------
Neto ----------------Palmer---------------Estevao
-----------Santos --------------Caicedo----------
Cucurella --------Colwill -----Guehi --------James
--------------------Petrovic----------------------
Mtabidi mtupe hayo makombe kabla hatujaanza kutembeza mkong'oto kwa kila timu
Tulieni nyie viazi mbape awapake mafuta, kiherehere kiwaishe.Nyie kenge mpoView attachment 3305391
Unajua unajichoresha, caicedo hata hajacheza. Aliwakataa inabidi ukubaliane na hali kuwa aliwakataa.Hamuwezi kufanya lolote lile la maana mkiwa na caicedo garasa hilo kila siku nawaambia
Chelsea hawana tofauti na MEMKWA huko conference 😂