Hamna ushindi wowote tutapata kw fulham,katimu tu cha poland huko kametutoa kamasi!, hao fulham itakuaje! tuna kocha kiazi kuwahi kutokea.Kesho, Chelsea itawatembelea majirani zetu Fulham, kwa mechi fupi zaidi ya ugenini kwa Chelsea katika msimu mzima wa EPL, umbali wa kilomita 2.2 pekee.
Hakuna kisingizio cha uchovu; ushindi kesho ni lazima!
TumeshalombwaFulham vs Chelsea
Formation: 4-2-3-1
Lineup
--------------Jackson---------------
Neto--------Palmer-----------Madueke
------Enzo -------------Caicedo------
Cucurella --Colwille--Chalobah--James
---------------Sanchez -------------
Bench
1) Jorgensen
2) Tosin
3) Badiashile
4) Acheampong
5) Gusto
6) Lavia
7) Dewsburry-Hall
8) Sancho
9) George
😂😂😂😂Kenge kabisa
Tyrique George na Pedro Neto wametuokoa na aibu hii ya leoTumeshalombwa
Pia tufanye maombi ya kuwaombe mabaya Newcastle, Man City, Forest na Aston Villa. Hao ndio pingamizi kubwa la sisi kucheza UEFA mwakaniKama tungeshindwa kushindà leo matumaini ya kucheza uefa msimu ujao yalikuwa yanaota mbawa leo ila kwa ushindi huu bado tunanafasi ya kuingia ata kwa nafasi ya tano
Bado safari ni ndefu sana. Kuna Newcastle na Liverpool mbele. Halafu Aston Villa ameuwasha kweli kweli unategemea kwa tunavyodevela devela tutaweza kubaki hiyo nafasiKama tungeshindwa kushindà leo matumaini ya kucheza uefa msimu ujao yalikuwa yanaota mbawa leo ila kwa ushindi huu bado tunanafasi ya kuingia ata kwa nafasi ya tano
Siioni hiyo nafasi tumebaki na fixtures ngumu sana, lakini pia tuna tatizo la kushindwa kufunga hata tunapopata nafasi za wazi, . Sasa unacheza na timu ngumu unabahatika kupata nafasi ya kupata goal unaleta utoto mwenzio anapata anakuadhi.Bado safari ni ndefu sana. Kuna Newcastle na Liverpool mbele. Halafu Aston Villa ameuwasha kweli kweli unategemea kwa tunavyodevela devela tutaweza kubaki hiyo nafasi
Yan hata hiyo fainali ya Conference tunayopambania sijui itakuaje kama tutafika. Maana kwa mwenendo tulionao inakua ngumu sana kuamini kuna maajabu tunaweza kufanya.Siioni hiyo nafasi tumebaki na fixtures ngumu sana, lakini pia tuna tatizo la kushindwa kufunga hata tunapopata nafasi za wazi, . Sasa unacheza na timu ngumu unabahatika kupata nafasi ya kupata goal unaleta utoto mwenzio anapata anakuadhi.
Na tukishwa fungwa usitegemee come back labda itokee miujiza tu km jana yani mazoezi sijui huwa hawajifunzi namna ya kufunga!!!?, halafu timu inacheza ipo slow sana yani mpaka inaboa kuiangalia
Itakuwa ajabu sana kukosa hicho kikombe kilichojaa timu za uwezo wa kawaida, lkn mashabiki tujiandae kisaikolojia kwa lolote maana timu badala kuimprove kadri muda unavyokwenda lkn ndo kwanza inazidi kudrop tu.Yan hata hiyo fainali ya Conference tunayopambania sijui itakuaje kama tutafika. Maana kwa mwenendo tulionao inakua ngumu sana kuamini kuna maajabu tunaweza kufa
Mkuu tumalize msimu tu mi nishachoka aseeh. Kila siku tunashangazwa Cole Palmer ndio hafungi siku hizi.Itakuwa ajabu sana kukosa hicho kikombe kilichojaa timu za uwezo wa kawaida, lkn mashabiki tujiandae kisaikolojia kwa lolote maana timu badala kuimprove kadri muda unavyokwenda lkn ndo kwanza inazidi kudrop tu.
Tulikuwa tunajaji juu ya swala la kuzoeana wacheza,lkn kwa muda waliokaa ni mwingi sana kuweza kujenga chemistry
HakikaMkuu tumalize msimu tu mi nishachoka aseeh. Kila siku tunashangazwa Cole Palmer ndio hafungi siku hizi.