ikongoc
JF-Expert Member
- Jan 13, 2018
- 328
- 312
Link hii ya kupiga kura kwa ajili ya timu ya tangu Chelsea imeanzishwa miaka 120 hadi kufikia sasa The Team of 120
kina mama waletwe kwa kina baba wafundishwe!!👿Chelsea women wamempga city, now wanaongoza kwa point 8. Arsenal kama kawaida yao kule nafasi ya pili wanasindikiza.
Kuna umuhimu hawa wakinamama inabidi waletwe kwa kinababa wawafundishe namna ya kucheza mpira.
Hiyo timu ndio ije hishiriki kwenye ligi alafu hawa wengine waende sasa wakacheze under 21Kwenye mazoezi timu ya under21 imeifunga first eleven ya Chelsea 3-0 😂😂😂
Chelsea tuna wachezaji wazuri sema kocha wetu ameshindwa kuja na mfumo wa kufit kwenye teamYaliyojiri na yatakayojiri:
1) Comeback ya Chelsea women ya 3-0 kutinga nusu fainali ya UEFA
2) Strasbourg kuwakung'uta Lyon, Andrey Santos akivunja ukuta wa Lyon kwa rungu la kichwa
3) Chelsea kukutana na Spurs alhamisi huku majeruhi wote wakiwa fit
Kwa mfano wewe ndiyo coacher, ungekuja na mfumo gani??Chelsea tuna wachezaji wazuri sema kocha wetu ameshindwa kuja na mfumo wa kufit kwenye team
Yeye sio kocha kwa hiyo sidhani kama jibu lake ni practical,Kwa mfano wewe ndiyo coacher, ungekuja na mfumo gani??
Hata James nae kashindwa kumtumia angalia James alivyochezeshwa na Tuchel kwenye team yake ya Taifa angalia huku anavyotumika ndipo unajua hapa kocha hatunaYeye sio kocha kwa hiyo sidhani kama jibu lake ni practical,
Tatizo kubwa la Maresca ni kushindwa kuwaweka baadhi ya talented player kwenye mfumo wake wafit in. Kwa mfano Gusto ameshindwa kabisa kucheza vizuri kwa sababu Maresca amemkataza asicheze mtindo wake wa kupaqnd a na kutoa krosi
Bado tunaendelea vizuri kwenye utabili huuSun Mar 16 Arsenal (Ugenini) - Sare - Tumepoteza, ilitakiwa kuwa sare.
Angalau tunahitaji pointi 16 kwa mechi 9 zilizosalia ili kuwa na uhakika wa kuingia 4 bora.
Wed Apr 2 Tottenham Hotspur (Nyumbani) - Shinda
Sat Apr 5 Brentford (Ugenini)- Shinda
Sat Apr 12 Ipswich Town (Nyumbani)- Shinda
Sat Apr 19 Fulham (Ugenini) - Sare
Sat Apr 26 Everton (Nyumbani)- Shinda
Sat Mei 3 Liverpool (Nyumbani) - Lose
Jumamosi Mei 10 Newcastle United (Ugenini) - Sare
Jumapili Mei 18 Manchester United (Nyumbani) - Sare
Jumapili Mei 25 Nottingham Forest (Ugenini) - Sare