Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
SawaKesho tutakula kichapo.
SawaKesho tutakula kichapo.
Cucurella, Palmer, Jackson, Colwill hawapo, hawa ni wachezaji muhimu sanaKocha tapeli hata kama rotation ndio aweke wachezaji 5 benchi wa kikosi Cha kwanza.
Anayeongoza ni Moises Caicedo, zile kelele za mamilioni ya pauni sasa hazipo. Hiyo ni ushahidi toshaSwali kuelekea mwisho wa msimu je ni mchezaji gani aliyeimprove ukilinganisha na msimu uliopita?
Je ni wachezaji hawafundishiki au ni kocha hana anachofundisha?
Caseido alianza career yake chelsea slow lakini mpaka second half ya msimu uliopita alikuwa ni huyu wa sasa. Enzo alichopewa zaidi ni uhuru wa kwenda mbele sababu hao mawinga ni wapoza mashambulizi hivyo inampa nafasi ya kusogea kwenye box lakini kinachositikisha mchezaji wa £100mil sehemu ya kushoot anashot kama mtoto wa miaka 7 na akiongeza intensity basi anaangua mnazi overall ni kama kocha alitembelea form ya msimu uliopita haiwezekani timu ya mwezi wa 11 nimeshindwa kurejea mpaka muda huuAnayeongoza ni Moises Caicedo, zile kelele za mamilioni ya pauni sasa hazipo. Hiyo ni ushahidi tosha
Enzo kaimarika pia kwenye na. 8, amekuwa mzuri kwenye kuwahi kuingi kwenye viboksi muhimu za ufungaji
Mbaga JrKenge kabisa
Avumilie tuu
Urudi top 4 gani kenge kabisaJukwaa limepoa jamani, leo Chelsea anacheza
Ushindi ni lazima turudi top 4
Muje hapa jukwaani kuisuppoort timu yetu
Wajinga sana Hawa wameshalipindua treni langu 😃Chelsea ukiwashambulia tu ni goli