lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Kwamba umri miaka 16-19Mkuu wakati Blue Co wananunua team mkataba ulianisha aina ya wachezaji wanaotakiwa kusajiliwa (Mfano Umri, rangi na utaifa)?
Rangi - mweusi
Nywele - rasta
😀😀😀😀
Kwamba umri miaka 16-19Mkuu wakati Blue Co wananunua team mkataba ulianisha aina ya wachezaji wanaotakiwa kusajiliwa (Mfano Umri, rangi na utaifa)?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie Kenge mkimaliza ligi chini wale mayatima wa mzee Wenger dunia itawashangaa sana, kesho nipigieni vile vifaranga vya Tetea.waambieni Arsenal timu hii, wajipange mapema wasije lialia hapa
Tuna mpango wa kupungauza gepu ahdi pint 3
View attachment 3271505
Kijana kawa mleviKendry Paez anaandaliwa kuja kuwa msaidizi wa Enzo Fernandez kwenye na. 8 badala ya kufanya kuchezai pembeni kama winga.
View attachment 3271278
Msimu uliopita muda kama huu, wamiliki na uongozi wa juu wa Chelsea walikuwa wamegawanyika kuhusu Pochettino. Ilikuwa ni kipindi cha sintofahamu, na ukosefu wa maelewano ulionyesha changamoto kubwa zaidi ndani ya uongozi wa klabu. Msimu huu muda kama huu, hali imebadilika sana. Enzo Maresca amepata uungwaji mkono wa pamoja kutoka kwa wamiliki na bodi nzima. Mbinu zake za kiufundi na uwezo wa kufanikisha matokeo thabiti zimewavutia maamuzi wa Chelsea. Wanaamini kuwa Maresca ndiye chaguo bora kuongoza mradi wao wa muda mrefu kwa mafanikio.
Sasa hatupo naye na ndio maana maomb i yatahitajika sanaKwani wakati wa Roman Abramovic tulifanya maombi?
Mtafute draw mmeambiwa ni kabati hilo? 😂😂😂Leo mzee wa baridi hayumo kwenye kikosi beki ziko kama tano sijuhi tunatafuta draw mfumo 343
Hakuna mfumo wa ulinzi shirikishi hapa. Hatuna kocha wa akili za hiviHee kumbe leo tumeingia na mfumo wa ulinzi shirikishi.