Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,780
- 9,149
Timu yetu kurudi kwenye msitari itachukua muda.
Huu uwanja nasikia si wa kwenuTHE BLUES tunajiendea kama gari bovu. Hizo pesa tunazotapata tungezitumia kupanua kiberiti chetu View attachment 3272727
Kwa hiyo tufanyeje mkuu?Umetumia £1.6B kusajili Masaro bado unasema unajenga timu
Huwezi kujenga timu kama unajenga nyumbaTuendelee kusajili Masaro kwa miaka 10 kama mkataba wa mauziano ya club unavyosema.
Sawa makenge mmeshinda nyieHao viwete Arsenal mbona tunaweza kushinda vizur tu. Nyie Arsenal sijui mnawaonaga wakali sana eeh? Mechi ngumu kwetu ni hao akina Everton, Nottingham na fulham.
Unavyoandika utasema una knowledge ya mpira kumbe apeche alolo.Hatuwezi kupoteza mechi hizi isipokuwa Maresca abuni mpango wa mchezo wenye utata ambao vijana hawa hawataweza kuutekeleza ipasavyo.
Mechi zilizobaki
Tunaweza pata Pointi 17 kwenye hizo mechi ambazo zitaongezwa kwenye 49 zilizopo zitaleta jumla ya 66, zinazotosha kuhakikisha nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi.
- Jumapili, Machi 16: Arsenal (Ugenini) - Sare
- Jumatano, Aprili 2: Tottenham Hotspur (Nyumbani) - Ushindi
- Jumamosi, Aprili 5: Brentford (Ugenini) - Ushindi
- Jumamosi, Aprili 12: Ipswich Town (Nyumbani) - Ushindi
- Jumamosi, Aprili 19: Fulham (Ugenini) - Sare
- Jumamosi, Aprili 26: Everton (Nyumbani) - Ushindi
- Jumamosi, Mei 3: Liverpool (Nyumbani) - Hasara
- Jumamosi, Mei 10: Newcastle United (Ugenini) - Sare
- Jumapili, Mei 18: Manchester United (Nyumbani) - Sare
- Jumapili, Mei 25: Nottingham Forest (Ugenini) - Sare
Ikiwa tutashinda dhidi ya Newcastle United, Manchester United, na Forest, tutapanda hadi nafasi ya pili au ya tatu kwenye ligi tukiwa na jumla ya pointi 72.
Kwa ukumbusho: Chelsea ilimaliza msimu uliopita katika nafasi ya sita ikiwa na pointi 63.
View attachment 3271945
Maresca ameopt kucheza back 5 ili kupunguza idadi ya magoli. Angecheza hii formation yako tano zingejirudiawaambieni Arsenal timu hii, wajipange mapema wasije lialia hapa
Tuna mpango wa kupungauza gepu ahdi pint 3
View attachment 3271505
Brentford....Fulham... Nottingham Hawa watakufanya kitu kibaya hakyanani....Sun Mar 16 Arsenal (Ugenini) - Sare - Tumepoteza, ilitakiwa kuwa sare.
Angalau tunahitaji pointi 16 kwa mechi 9 zilizosalia ili kuwa na uhakika wa kuingia 4 bora.
Wed Apr 2 Tottenham Hotspur (Nyumbani) - Shinda
Sat Apr 5 Brentford (Ugenini)- Shinda
Sat Apr 12 Ipswich Town (Nyumbani)- Shinda
Sat Apr 19 Fulham (Ugenini) - Sare
Sat Apr 26 Everton (Nyumbani)- Shinda
Sat Mei 3 Liverpool (Nyumbani) - Lose
Jumamosi Mei 10 Newcastle United (Ugenini) - Sare
Jumapili Mei 18 Manchester United (Nyumbani) - Sare
Jumapili Mei 25 Nottingham Forest (Ugenini) - Sare
🤣Kimbukiko na Mkohoti nawaomba mje kule jukwaani kwangu tumalizane maana tulipanga leo ndo tumalizie Yale mazungumzo tuliyoanza wiki ilopita....tqfqdhalini sana waungwana🤠🤠🤠🤠
Sun Mar 16 Arsenal (Ugenini) - Sare - Tumepoteza, ilitakiwa kuwa sare.
Angalau tunahitaji pointi 16 kwa mechi 9 zilizosalia ili kuwa na uhakika wa kuingia 4 bora.
Wed Apr 2 Tottenham Hotspur (Nyumbani) - Shinda
Sat Apr 5 Brentford (Ugenini)- Shinda
Sat Apr 12 Ipswich Town (Nyumbani)- Shinda
Sat Apr 19 Fulham (Ugenini) - Sare
Sat Apr 26 Everton (Nyumbani)- Shinda
Sat Mei 3 Liverpool (Nyumbani) - Lose
Jumamosi Mei 10 Newcastle United (Ugenini) - Sare
Jumapili Mei 18 Manchester United (Nyumbani) - Sare
Jumapili Mei 25 Nottingham Forest (Ugenini) - Sare


Nyie ni matakataka tu, mechi ya leo mngewatandaki hao mayatima mngekua na chance nzuri hata kumaliza ligi mkiwa nafasi ya pili, binafsi mmeniboa sana nawaombea baya lolote liwakute kwenye mechi zenu zote zilizobaki. Kurud kwenye ubora unaanza na kocha mzuri. Wakat wakina Enrique wako hawana team na wakina neglesman tukaachana nao tukaenda kwa kina mashavu poch na hawa wa kufanya majaribioTimu yetu kurudi kwenye msitari itachukua muda.
Kwani zinatakiwa shots ngapi ili kuchukua ubingwaTwo shots on target.
Zote kapiga Cucurella 🤣