Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aina ya uchezaji wa Nkunku ninyi ndio hamjui
Anahitaji wachezaji wenye uwezo wa kumpelekea huduma kitu ambacho hakuna. Mpelekee mpira kwenye penalti box ndio utajua umuhimu wake
Aisee, seriously?
 
Tafuteni Goalkeeper wa kueleweka huyu Sanchez sio No.1 kipa wa levels za timu kama Chelsea.

Sanchez ni big reasons ya Timu yenu ku- suffering mpaka sasa akifuatiwa na Jackson.
 
Mkiendelea kuwachekea hawa Makima Top 4 mtaisikia kwenye bomba.
FB_IMG_17378365335915598.jpeg
 
Hii ndio siku pekee tulikuwa tunaweza isambaratisha City ila Game setup ya Maresca na kukomalia wachezaj wanaomuangusha inatugharim
Hata game plan yake ilikuwa ya hovyo kweli. YaaniMaresca anajionyesha waziwazi ni ko9cha very weak
Timu imecheza vibaya hivyo huku kwenye m,edia unasema timu imecheza vizuri kuliko miezi mitatu iliyopita. Huu ni uongo kabisa. Timu ilianza kucheza hovyo mwishonimwa Desemba tulipocheza na Everton
 
Chelsea wanafikiria kumuondoa kwenye ugolkipa namba 1 Robert Sanchez baada ya kufanya makosa iliyosababisha magoli hivi karibuni

Telegraph Football

@TeleFootball


1737857320911.png

1737857548045.png
 
Narudia tena sisi tutaendelea kuwa daraja kuwarudisha wengine kwenye chart. Tunahitaji wachezaji wenye mentality ya kiutu uzima kujua hii ni ligi gani na wanachezea timu gani. Kuhusu Jackson na Sanchez tutawalaumu bure lakini nilishasema hawa ni average player hawawezi kwenda zaidi ya hapo. Tunahitaji World Class goalkeeper na finisher wa kueleweka hawa average player wawe wasaidizi tu.
 
Hivi Maresca haangaliagi hizi takwimu
View attachment 3214231
Huyu Petrovic mimi niliwahi kusema alifanya vizuri sana kipindi cha Poch, wewe ndio ukaja kumtetea Sanchez sijui na mambo ya footwork nzuri na vitu gani sijui. Lakini ni ukweli sasa tunakubaliana Sanchez bado hafai kuanza wakati tuna Petrovic aliye kwa mkopo na anafanya vizuri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom