Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haya wakuu, safari ya kuitafuta nafasi ya 4 au ya 6 imeanza 😎
 
Nlkuwa nasubir kipindi cha kwanza kiishe ili niende kuchek game ila imebidi nirudi kitandani tuu, hili jero langu nitakula maandazi asubuhi.
Tumeshinda 3-1 ila Chelsea ni ile ile haijabadilika. Tushukuru tulikuwa tunacheza na Wolves wasioweza kudefend wala kushambulia
 
Kama SD wanaona tatizo tulilonalo halaf wako tayar kutoa 60M kwa Garnacho inafaa waondoke haraka iwezekanavyo
 
Mtumishi wa Mungu Trevoh Chalobah amerudi darajani na upako na kuwa MOTM
Mungu apewe sifa
1737433304655.png
 
Dunia ina maajabu, eti Felix nae ni mchezaji!
João Félix kama mchezaji nyota tayari amekufa. Ameshindwa kubadilisha uchezaji wake wa mpira. Huwezi kucheza nafasi muhimu ya katikati na kupoteza mpira kirahisi vile hivyo kuruhusu wapinzani kushambulia. Hata akipoteza kijinga anabaki wala hafukuzii kurudisha.

Hakuna kocha ambaye angemwamini vya kutosha kuanza au hata kumpa sub kwa aina hii ya uchezaji.
1737434481196.png
 
Lavia sio mtu wa kumtegemea Yani tuna 2 Full fit midfielder

Lavia hawez cheza mech 5 mfululizo
Caicedo kachoka sana, hata haonekani tena zaidi ya game mbili sasa. Hivi Maresca halioni hili hadi dirisha lifungwe au ndio KDH atatosha.

Santos angerudishwa ingeleta hata point
 
Tumeshinda 3-1 ila Chelsea ni ile ile haijabadilika. Tushukuru tulikuwa tunacheza na Wolves wasioweza kudefend wala kushambulia
Next game Na Man City lazima turudi tulambwe na tutarudi tulipotoka
 
Kama hakuna winga na sttaika wa mabao kama enzi za diego Willian na hazard hakuna timu ya maana hapa
 
João Félix kama mchezaji nyota tayari amekufa. Ameshindwa kubadilisha uchezaji wake wa mpira. Huwezi kucheza nafasi muhimu ya katikati na kupoteza mpira kirahisi vile hivyo kuruhusu wapinzani kushambulia. Hata akipoteza kijinga anabaki wala hafukuzii kurudisha.

Hakuna kocha ambaye angemwamini vya kutosha kuanza au hata kumpa sub kwa aina hii ya uchezaji.
View attachment 3208439
Last born
 
Trevoh Chalobah ni "The Blues" wa damu wa kweli ataendelea kuwaumbua SD, Directors na wale wote waliomdhalilisha kuanzia preseason
1737450467804.png
 
Enzo Maresca amesema mmajeraha ya Lavia ni mbaya zaidi ya Enzo na haijulikani atarudi lini?
Tuna kazi kubwa ya kupambania top 4, tunaingia pia kwenye ngwe ngumu ya UECL, tuna FA na Caiocedo kachoka. Tunabaki na akina KDH huku viungo wazuri akina Lesley na Andrey Santos wako mkopo na dalili ya kuwarudisha hakuna. Tumekazana kuwarudisha tu akina
  1. Aaron Anselmino - Boca Juniors
  2. Eddie Beach - Crawley Town
  3. Luke Campbell - Hendon
  4. Trevoh Chalobah - Crystal Palace🆗
  5. Ted Curd - Hampton & Richmond
  6. Gabriel Slonina - Barnsley
  7. Ronnie Stutter - Burton Albion
1737452147149.png
 
Trevoh Chalobah ni "The Blues" wa damu wa kweli ataendelea kuwaumbua SD, Directors na wale wote waliomdhalilisha kuanzia preseason
View attachment 3208661
Na jana goli la madueke ilitakiwa liwe goli la chalobah, n bc tuu madueke amefanya kuusukumiza zaidi mpira kuingia golini ila ht angeuacha ungeingia golini na kuwa goli la chalobah
 
Garnacho ni Mudryk ambae tulietaka awe

Huyu dogo anakuja kuongeza kasi zaid kwenye mashambulizi yetu
Anakuja kuongeza goals/Assist
Atapunguza mashambulizi mengi kwa wapinzani atafanya muda mwingi wawe wanazuia kuliko kutushambulia

Naomba asajiliwe haraka. Conte kaliona hili ndio maana na yeye yupo kwenye mawindo ya kunasa sign ya huyu kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom