Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu Petrovic mimi niliwahi kusema alifanya vizuri sana kipindi cha Poch, wewe ndio ukaja kumtetea Sanchez sijui na mambo ya footwork nzuri na vitu gani sijui. Lakini ni ukweli sasa tunakubaliana Sanchez bado hafai kuanza wakati tuna Petrovic aliye kwa mkopo na anafanya vizuri tu.
Waliomsajil Sanchez hawapaswi kuwepo ndani ya hii club mpaka sasa. Makosa ya Sanchez hayajaanza leo hii tangu huko alipotoka
 
Narudia tena sisi tutaendelea kuwa daraja kuwarudisha wengine kwenye chart. Tunahitaji wachezaji wenye mentality ya kiutu uzima kujua hii ni ligi gani na wanachezea timu gani. Kuhusu Jackson na Sanchez tutawalaumu bure lakini nilishasema hawa ni average player hawawezi kwenda zaidi ya hapo. Tunahitaji World Class goalkeeper na finisher wa kueleweka hawa average player wawe wasaidizi tu.
Tunahitaj 3 wc player
GK,CB na Finisher
Beki zetu zote hakuna kiongozi

Tunapoteza hela tu kurundika wtoto wakat hela hiyo hiyo ungesajil wachezaj wazuri
Unaacha kutoa 60M kwa Kvicha unaenda kutoa 60 kwa Garnacho

Unaacha kumlipa Osihmen hela nzuri unangangania Jackson na Gui

Hawa SD wetu ndio wametufanya kuwa MID TABLE TEAM
 
Nilipoasisi msemo wa taka taka nikala ban ila ukweli utaishi asilimia kubwa ya wachezaji wa cfc ni takataka
 
Tunahitaj 3 wc player
GK,CB na Finisher
Beki zetu zote hakuna kiongozi

Tunapoteza hela tu kurundika wtoto wakat hela hiyo hiyo ungesajil wachezaj wazuri
Unaacha kutoa 60M kwa Kvicha unaenda kutoa 60 kwa Garnacho

Unaacha kumlipa Osihmen hela nzuri unangangania Jackson na Gui

Hawa SD wetu ndio wametufanya kuwa MID TABLE TEAM
Cheki hapa katika ligi 5 bora ulaya kipa wetu ndio anaongoza kwa kufanya blunders. Na awewaacha mbali wenzake
 

Attachments

  • Screenshot_20250126_105139_Instagram.jpg
    Screenshot_20250126_105139_Instagram.jpg
    132.3 KB · Views: 12
Hii timu ilianza kujipata lakini kocha na wachezaji wakalewa sifa vipigo vilipofululiza timu imeshapoteza kujiamini tena imerudi hatua kumi nyuma mechi ya mwisho timu ilicheza kwa kujiamini ilikuwa game na Brentford
Kocha kaleta mchezo wa kuwapunguzia pressure wachezaji ila outcome imekuja kuambatana na kupoteza morali
Kufungwa ni part ya mchezo ila kinachoniogopesha ni pale timu unapocheza vibaya na kocha anaona ni sawa can't imagine game ya Jana kocha anasema ilikuwa 50/50 kabla ya goli la pili wakati timu imecheza rubbish zaidi ya dakika 30 kwenye kipindi cha kwanza

Weakness kubwa ambayo kocha ameshindwa kabisa kuinject kwa wachezaji ni uwezo wa kupress na kuspot hatari wachezaji wanakabia macho wako laini laini ni Caseido tu anayeweza kufanya marking Seriously wakati swala la kukaba kwenye modern football ni collective
Kiburi cha kocha kuhusu golikipa sio hata cha kujadili including SD ,ogopa sana mchezaji aliyekuwa na namba akapoteza tena akiwa timu kama Brighton kwenye hili dhambi ya kwanza ni kwa waliomsajili
Kuna muda huwa nawaza hata ulaya pia kuna matapeli kwenye club kwa nini walimpatia kocha mkataba mrefu moja kwa moja ? Ilitakiwa kuwa miaka 2 then ukiridhika na project yake unampatia extension sasa mfano akifeli hiyo fidia madalali watalamba?
 
Hii timu ilianza kujipata lakini kocha na wachezaji wakalewa sifa vipigo vilipofululiza timu imeshapoteza kujiamini tena imerudi hatua kumi nyuma mechi ya mwisho timu ilicheza kwa kujiamini ilikuwa game na Brentford
Kocha kaleta mchezo wa kuwapunguzia pressure wachezaji ila outcome imekuja kuambatana na kupoteza morali
Kufungwa ni part ya mchezo ila kinachoniogopesha ni pale timu unapocheza vibaya na kocha anaona ni sawa can't imagine game ya Jana kocha anasema ilikuwa 50/50 kabla ya goli la pili wakati timu imecheza rubbish zaidi ya dakika 30 kwenye kipindi cha kwanza

Weakness kubwa ambayo kocha ameshindwa kabisa kuinject kwa wachezaji ni uwezo wa kupress na kuspot hatari wachezaji wanakabia macho wako laini laini ni Caseido tu anayeweza kufanya marking Seriously wakati swala la kukaba kwenye modern football ni collective
Kiburi cha kocha kuhusu golikipa sio hata cha kujadili including SD ,ogopa sana mchezaji aliyekuwa na namba akapoteza tena akiwa timu kama Brighton kwenye hili dhambi ya kwanza ni kwa waliomsajili
Kuna muda huwa nawaza hata ulaya pia kuna matapeli kwenye club kwa nini walimpatia kocha mkataba mrefu moja kwa moja ? Ilitakiwa kuwa miaka 2 then ukiridhika na project yake unampatia extension sasa mfano akifeli hiyo fidia madalali watalamba?
caicedo duels zote anashindwa, halafu mnategemea mshinde mechi
 
Huyu Petrovic mimi niliwahi kusema alifanya vizuri sana kipindi cha Poch, wewe ndio ukaja kumtetea Sanchez sijui na mambo ya footwork nzuri na vitu gani sijui. Lakini ni ukweli sasa tunakubaliana Sanchez bado hafai kuanza wakati tuna Petrovic aliye kwa mkopo na anafanya vizuri tu.
Ni kweli kwamba Sanchez ana footwark nzuri kuliko makipa tulionao, Ni kweli pia Sanchez kaimprove sana toka awe chaguo la kocha. Ni kweli kwamba Petrovic au Filip hawana footwork nzuri kuliko Sanchez hasa wakati ule ligi inaaza. Sasa kule lgue 1 Petrovic ameimprove sana kwenye footwork na hii ni habari njema labda kocha amkatae mwenyewe msimu ujao. Tatizo la Sachez ni kwenye maamuzi yenye kuitosa timu (Eratic decision making)
 
Huyu hakufaa hata kusajiliwa. Inakuwaje unasajil gk no 2 wa brighton halaf aje kuwa gk no 1 wa team yetu.

Our SD hawapaswi kuwepo mpka sasa washafanya makosa mengi yanayoigharim hii team
SD wenye mid team mindset. Wanajua tu kuibua vipaji wa kuja kuwakuza na kuwauza ila masuala ya nkupambania ubingwa wao hawajui kabisa. Tumeliwa na wamiliki ndivyo walivyotaka kufanya biashara ya wachezaji
 
Petrović ana msimu wa kuvutia huko Strasbourg. Ameorodheshwa kipa bora wa 4 kwenye Ligue 1 na Sofascore, mbele ya Marcin Bulka, ambaye watu wengi walimtaka majira ya joto yaliyopita.

1737912965369.png
 
Tangu mwanzo timu imenunuliwa nilisema management ni mbovu katika uendeshaji wa timu.

Huwezi kununua Toyota vits ukataka ikimbie kama Subaru, uliona wapi?

Hiyo vits hata uibadilishe rims, ufunge mziki mzigo, maspoila, uandike ubavuni subaru evolution 12 bado spidi yake itabaki ile ile ya vits.

Wamiliki + SD Walitusajilia wachezaji kibao vits, matokeo yake mtaishia kutoa lawana kila siku, mkitaka wawe Subaru.

Kocha mwenyewe ni Engine ya kicarry iliyofungwa kwenye Fuso (The Blues).
Ndg CashMoney, hawa wachezaji wengi wao ni wazuri, tumewaona walivyocheza tangun ligi ianze hadi 22 Desemba 2024 pale walipogoma kucheza vizuri. Pamoaj na uwezo mdogo wa kocha mimi naona wachezaji hawataki kujitoa kwa ajili ya kocha. Kuna comunication bnreak down. Hivi punde tutajua zaidi
 
Aliyetutapeli ni Maresca, kafanya vizuri kuaniza Agosti hadi December tukajua ndiye Mesia tumtarajiaye pale Chelsea kumbe alikuwa Mesia feki
Si kocha mwenye akili ya makombe maana ni mzito wa kufanya sub na kubadili mfumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom