Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mykhailo Mudryk aachwa na mchumba wake (Violetta Bert ambaye ni mwanamitindo wa nchini Urusi) baada ya Mudryk kufungiwa na FA kwa muda usiojulikna kucheza kandanda nchini Uingereza. Mwanamitindo huyo ambaye aliamua kwenda likizo na mpinzani wake wa zamani wa Premium League.

Kulingana na Game, Set & Match, Bert amehama kumuacha Mudryk na sasa anachumbiana na kiungo wa Juventus, Weston McKennie.

Imeripotiwa kuwa Bert na McKennie waliondoka kwa ndege wakiwa pamoja, huku wawili hao wakichapisha picha za kituo maarufu cha kuteleza kwenye theluji cha Ufaransa, Courchevel, wakiwa wameanza kufuatiliana kwenye mitandao ya kijamii mwezi Oktoba.
View attachment 3212435
Wanawake ni 0 kabisa tamaaaa tu
 
  • Thanks
Reactions: K11
JAMBO KUBWA LINALOFUATA LA STARLINK: HUDUMA YA SELI KUTOKA ANGANI

SpaceX inafanyia majaribio toleo jipya la Starlink: Setilaiti za Direct-to-Cell zinazounganisha simu za mkononi kwenye huduma ya simu za mkononi popote Duniani—hata katikati ya mahali popote.

Setilaiti hizi hufanya kama "minara ya seli angani," itawaruhusu watumiaji wa simu za mkononi kutuma ujumbe, kupiga simu, au kutumia internet bila kuhitaji mawimbi kutoka kwa minara ya ardhini. Hakuna simu mpya au kifaa kipya inahitajika!

Majaribio yataanza Januari 27 na inalenga kuondoa maeneo yasiyofikiwa na huduma duniani kote, na hivyo kufanya iwezekane kupiga simu ili upate usaidizi, bila kujali mahali ulipo.

Chanzo: NASASpaceFlight.

1737805043449.png
 
Hizi quotes za Maresca sidhan kama zina afya naona na yeye amekuwa mbwabwatukaj tu.
 
PEP vs Maresca

Wachezaji wapya wameanza dhidi ya Chelsea
Khusanov na Marmoush
1737821991609.png
 
Mistake from Khusanov on his debut gifts Madueke a goal! Man City 0-1 Chelsea

1737828149803.gif
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mvua ya magoli inakuja, kaa mkao wa kuliwa
Hakuna mvua ya magoli hapa. Timu itakayoshinda ni kwa margin kwa sababu wote wabovu. Chelsea zaidi kutoboa hapa ni shida kwa sababu mentality inaonekana wazi wachezaji kama vile wako picknick
Hawapress wala kujishughulisha. City ukiwapress wanakuwaga wabovu
 
Hii timu ina small mentality, very inferior approach
Wachezaji na kocha wao wako honeymoon no urgency at all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom