Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ninachokiona hapa hata yale mafanikio ya Mashavu hatutayafikia na ukweli ni kwamba tuna kikosi kizuri kuliko kile cha mwaka jana
 
Nkunku sio striker ni shati linalotembea uwanjani
Aina ya uchezaji wa Nkunku ninyi ndio hamjui
Anahitaji wachezaji wenye uwezo wa kumpelekea huduma kitu ambacho hakuna. Mpelekee mpira kwenye penalti box ndio utajua umuhimu wake
 
IMG-20250125-WA0005.jpg
 
Hii ndio siku pekee tulikuwa tunaweza isambaratisha City ila Game setup ya Maresca na kukomalia wachezaj wanaomuangusha inatugharim
 
Ila hizi beki za Chelsea sijui zimetoka nchi gani. Hani Haland anawaegemea tu nakuchukua mpira anawageuza anavyotaka.

Kweli Virgil van Dijk atabaki kuwa ndio beki bora duniani. Haland huwa anaomba sub akikutana na van Dijk ila leo huyo Colwell na Chalobah utafikiri ni vikinda vya miaka 10.

Pumbaf kabisa
 
Aina ya uchezaji wa Nkunku ninyi ndio hamjui
Anahitaji wachezaji wenye uwezo wa kumpelekea huduma kitu ambacho hakuna. Mpelekee mpira kwenye penalti box ndio utajua umuhimu wake
Bora hata jackson kule mbele kunakuwa bize
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom