Inasikitisha kwa kweliMke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Ndoa kwa wenye hela ni utapeli.Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Nasikia pia mahakama imempa jumba lao la kifahari la jijini Machester. Walikuwa pamoja kwenye likizo ya Krisimasi lakini Manchester city walipomuongezea tu m kataba hadi 2027, Serra akakasirika na kwenda mahakamaniNdoa kwa wenye hela ni utapeli.
Wanawake 🙌Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Wako serious na Garnacho mil 60Hii club wanayoiharib ni SD , summer badala ya kupiga hatua kweny usajil utakaotuimprove tukaleta ujinga na same mistake tunaifany dirisha hili
Unahisi Garnacho atatusaidia au ndio kukusanya watoto zaidiWako serious na Garnacho mil 60
View attachment 3207748
Kwenye viungo kocha anaona isue ya Enzo na Lavia ni ya temorary tu maybe ni mechi moja tu ndio watakosaUnahisi Garnacho atatusaidia au ndio kukusanya watoto zaidi
Tuna upungufu wa viungo ila mpaka sasa hakuna dalili ya kumrudisha Andrey Santos o Ugechukwu
Lavia sio mtu wa kumtegemea Yani tuna 2 Full fit midfielderKwenye viungo kocha anaona isue ya Enzo na Lavia ni ya temorary tu maybe ni mechi moja tu ndio watakosa
Ila mi9mi kwa maoni yangu wacha wabaki maana wanafanya vizuri huko ili 2025 July tuwe na squad ya uhakika