Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1737054839282.png
 
Ni miujiza tu ndio itatufanya tuweze kubaki top 4
Hakuna dalili ya kusajili waokoaji wa hili jahazi linalozama.
SD wanang'ang'ana na akina Kareem Adeyemi
Tukubali tu kwamba msimu umeisha na sisi na UCL kwaheri labda tushinde UECL ili mwakani tushiriki Europa.

View: https://x.com/i/status/1788698461434445952
 
Lavia tena

Nilisikia kwamba majeruhi ni ni Romeo Lavia, Levi Colwill, Enzo Fernandez na Cole Palmer ambao wote wana shaka dhidi ya Wolves.
Romeo Lavia = Knock
Levi Colwill = Knock
Enzo Fernandez = Knock
Cole Palmer = Haijulikani
 
Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
1737171124360.png
 
Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Inasikitisha kwa kweli
 
Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Ndoa kwa wenye hela ni utapeli.
 
Kwa mujibu wa jarida la Marca la Uhispania, Chelsea wametuma pendekezo kwa Deportivo La Coruna kwa ajili ya kumsajili winga wao wa Uhispania, Yeremay Hernandez. Ofa hiyo inasemekana kuwa karibu na €10m (£8.4m) kama ada maalum, na addons zikihusishwa na uchezaji wa chipukizi huyo.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 ana release clause ya €20m (£16.8m) kulingana na jarida hilo, lakini kwa sasa haijajulikana kama Chelsea itakuwa tayari kufikia bei hii ili kumnasa mchezaji huyo mchanga wa mrengo wa kushoto.
1737213186394.png
 
Ndoa kwa wenye hela ni utapeli.
Nasikia pia mahakama imempa jumba lao la kifahari la jijini Machester. Walikuwa pamoja kwenye likizo ya Krisimasi lakini Manchester city walipomuongezea tu m kataba hadi 2027, Serra akakasirika na kwenda mahakamani
 
Tunapozungumzia timu kujipata bc tunazungumzia N. Forest, hii timu hapo ilipo ni ishu kubwa sana kwangu kuliko Liverpool kuchukua ubingwa.

Leo hii Chelsea ipo nafasi ya 6 😂 yn tumepoteana ghafla.
 
Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Wanawake 🙌
 
Cole Palmer: "Nimekuwa nikiwasiliana na Estevão, na mara nyingi ananiuliza kuhusu London. Kiingereza chake kinaimarika kila wakati. Ni mvulana ambaye ana hamu ya kuja kusaidia timu. Tunafanya kazi ya kujenga kemia nje ya uwanja. na kuona jinsi yote itkavyokuja pamoja kwa msimu ujao."

1737324807127.png
 
Hii club wanayoiharib ni SD , summer badala ya kupiga hatua kweny usajil utakaotuimprove tukaleta ujinga na same mistake tunaifany dirisha hili
 
Garnacho atatusaidia kweli?, Hivi dunia nzima tunakosa wachezaji wazuri kweli hadi tuwe tunachukua waliofeli timu kubwa za uingereza tu
 
Chelsea vs Wolves

Formation: 4-2-3-1
Lineup

-----------------Jackson-----------------

Neto----------Palmer-----------Madueke

-------KDH ----------------Caicedo------

Cucurella --Chalobah--Tosin--James

---------------Sanchez -------------

Bench
1) Jorgensen
2) Gusto
3) Acheampong
4) Disasi
5) George
6) Felix
7) Sancho
8) Nkunku
9) Guiu
 
Unahisi Garnacho atatusaidia au ndio kukusanya watoto zaidi

Tuna upungufu wa viungo ila mpaka sasa hakuna dalili ya kumrudisha Andrey Santos o Ugechukwu
Kwenye viungo kocha anaona isue ya Enzo na Lavia ni ya temorary tu maybe ni mechi moja tu ndio watakosa
Ila mi9mi kwa maoni yangu wacha wabaki maana wanafanya vizuri huko ili 2025 July tuwe na squad ya uhakika
 
Kwenye viungo kocha anaona isue ya Enzo na Lavia ni ya temorary tu maybe ni mechi moja tu ndio watakosa
Ila mi9mi kwa maoni yangu wacha wabaki maana wanafanya vizuri huko ili 2025 July tuwe na squad ya uhakika
Lavia sio mtu wa kumtegemea Yani tuna 2 Full fit midfielder

Lavia hawez cheza mech 5 mfululizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom