Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mlianza kujipa matumaini fake ya ubingwa japo kwa kuzuga hamuutaki! Unataka uchukue eipielo na kichaa madueke ? Bishoo sanchoka? Miguu baiskeli palmer? Kichwa ngumu Jackson? Beki disas? badiashille? Mkijipata sana next season mtashiriki conference, make Europa ndo hivo kina Newcastle wanakaza huko na Bournemouth,,,
 
1st goal. Palmer
1736012419584.gif
 
Mmerudi kwenye 'default mode'

Ukiangalia hiz zote n mid-table teams
Screenshot_20250104_204004_FotMob.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie Kenge siku hizi mmekua na Unyumbu mwingi sana, msimu huu niliwategemea kutakua na competition kubwa sana kati yenu na liverpool ila kwa hizi disappointment zenu mtaishia kupambania top4 tu Kenge kabisa nyie.
 
Chance tunazopata na kushindwa kuzitumia zitaendelea kututafuna.

Maresca hiv karibun amekuwa muoga sana kufanya mabadiliko.
Kocha kumkataa Nkunku ni kosa kubwa sana
Mimi ningeendelea kumpanga Nkunku no 10 na Palmer RW. Nkunku kakosewa hesjhima kabisa. Angecheza mfululioz tangu mwanzo sasa hivi angekuwa anafukuzana na akina Palmer kwa idadi ya magoli na hivyo Chelsea ingekuwa na uhakika wa Top 4
 
Aliyesema jackson takataka namuunga mkono
Ipo siku humu tutaongea lugha moja, huwezi kuwa na striker anayehitaji nafasi4 kufunga goli moja useme utapata chochote, hata top 4 tu itakua mtihani.

Unaambiwa uzuri wa Jackon anapress na kukaba!!!, wakat kazi y striker ni kufunga magoli. Eti next Drogba hahahaha

Nimeangalia mechi ya Brentford, kuna hao watu wanaitwa Mbeumo na Wissa, aisee wanacheza kiutu uzima, sio kina Jackson mamameee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom