lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,696
- 25,911
Hatutaki kombe lakini top 4 angalau, itakuwa aib u mwaka wa tatu mfululizo hatuchezi UEFAKwani mnalitaka Kombe?
Kazeni makalio mchukue ata conference
Hatutaki kombe lakini top 4 angalau, itakuwa aib u mwaka wa tatu mfululizo hatuchezi UEFAKwani mnalitaka Kombe?
Kazeni makalio mchukue ata conference
Na wameshasema Disasi hatauzwa kwa sababu eti ni backup ya bekiKuna mda Maresca ni kama haishi na maneno yake, sio mara moja au mara mbili ashasema Felix,Palmer,Madueke,Nkunku hawawezi kuanza pamoja kwa sababu wote sio wakabaji
Kingine nikuendelea kujitoa akili kukchezesha Disas kama right back wakat una Achaempong ambae ni rb halis
Katika game 3 zilizopita Maresca amezingua maana hata ukiangalia sub zake nizakuchelewa na si kama hapo mwanzo unakuta mchezaj ashazingua tangu first half ila unakuta 2nd half bado anaendelea
Game ya Fulham-Sancho game ilikuwa ishamkataa ila Neto ndie aliyetolewa na Sancho akamaliza dakika 90
Game ya Ipswich disasi game ishamkataa ila kaja kutolewa dakika ya 77 huko
Wachezaji wengi wa Ipswich Town hawatapata nafasi Chelsea lakini wametufunga 2-0H ya Ipswich imeniuma sana aisee
tulimuacha point 4 baada ya mechi 3 wametuacha point 4, hata kama hatuko kwenye title race, ila haya matokeo ya point 1 kwenye point 9 haikubaliki tena kwa timu kama Everton, Fulam na Ipswich TownDah Arse8 tulikuwa tumemuacha points kadhaa, baada ya mechi 3 yeye ndio anatutimulia vumbi.
Kweli ukubwa wa kikosi sio kushinda mechi. Hakuna haja ya kusajili tena January tunazingua
Chalobah ni bora kuliko DisasiNa wameshasema Disasi hatauzwa kwa sababu eti ni backup ya beki
Unamuacha Chalobah halafu unamuweka Disasi
Leicester walitupiga sana kwa huyu mchezaji msimu wa pili huu anakaa nje kula mshahara wa bure tuuhFofana huenda akawanje kwa msim mzima (Akakosa mechi zote zilizosalia)
Kuna uwezekano Wesley Fofana akakaa tena msimu mzima nje ya uwanjaFofana huenda akawanje kwa msim mzima (Akakosa mechi zote zilizosalia)
We jamaa unakula ugoro nini?....among top players top 10 epl mpk sasa huwezi kumuacha caicedoTafuteni kiungo wa kueleweka. Caicedo ni mchezaji mbovu
Sawa sawa nitaku rudia mwisho wa msimuWe jamaa unakula ugoro nini?....among top players top 10 epl mpk sasa huwezi kumuacha caicedo
Hizo kushoto takwimu za caicedo na hizo kulia gravenberch....basi km vipi km caicedo mbovu wenu nyie tusemaje chief😂😂😂Sawa sawa nitaku rudia mwisho wa msimu
Angalia msimamoHizo kushoto takwimu za caicedo na hizo kulia gravenberch....basi km vipi km caicedo mbovu wenu nyie tusemaje chief😂😂😂
Sio top 10 ndiye best defensive midfilder in epl right nowWe jamaa unakula ugoro nini?....among top players top 10 epl mpk sasa huwezi kumuacha caicedo