Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yeyote anayesema hii timu inapambania ubingwa akamatwe afungwe. Timu ya kupambania ubingwa haiko hivi kama iliyocheza leo. Japo Everton ni wagumu ila sisi bado tunajijenga hatuna ubavu wa kupambania ubingwa.
Kwahiyo unamaanisha Liverpool bingwa?
 
Yeyote anayesema hii timu inapambania ubingwa akamatwe afungwe. Timu ya kupambania ubingwa haiko hivi kama iliyocheza leo. Japo Everton ni wagumu ila sisi bado tunajijenga hatuna ubavu wa kupambania ubingwa.
Kama kipimo cha kupambania ubingwa ni goodson park basi hakuna timu inastahili ubingwa katika zile 3 za juu
 
Kama kipimo cha kupambania ubingwa ni goodson park basi hakuna timu inastahili ubingwa katika zile 3 za juu
Hili nimeshalisema kabla hatujaenda Goodison Park. Mechi na Everton inaendelea kutumika kama kielelezo ya namna gani timu ya ubingwa inapaswa kuwa.
 
Tangu aje Chelsea leo ndio nimeuona ubora wa Tosin, nadhani Hata Fofana akirudi anaweza asimweke benchi tena
Tosin ni mzur siku zote, tena mzuri kuliko hata fofana mana hat kwnye kuanzisha mashambulizi pia yupo vizur sana.hakupewa tu dk na kuaminiwa. kocha alikomaa tu na yule masikio. Hatoi pasi bila kuuruka mpira kwanza.
 
Narudia tena kusema kwa ujasiri kabisa. Kukosekana kwa Cucurella jana kulituangusha sana katika safu ya kiungo na ushambuliaji. Cucurella anafanya kazi zaidi kuliko Gusto katika maeneo hayo, na Chelsea inahusika zaidi katika mashambulizi wakati Cucurella anacheza kwenye nafasi yake.

Enzo Fernandez anapata uhuru zaidi wa kucheza mbele huku Cucurella akicheza nafasi ya invert midfield.

Gusto ni fullback wa kijadi ambaye anacheza vizuri ikiwa atakaa pembeni na kutoa krosi lakini aki invert eneo la kiungo anapungua kufanya kazi vizuri. Ngoja tusubiri mechi ijayo wakati Chelsea watakuwa active kwenye kushambulia wakati Cucurella atakaporejea kwenye nafasi yake.
1734919147178.png
 
Wakati Gusto amecheza kama inverted no. 10

Matokeo yetu:
Liverpool tulipoteza kwa mabao 2-1
Ushindi mwembamba wa 2-1 dhidi ya Newcastle
Sare ya 1-1 dhidi ya United
Sare ya 1-1 dhidi ya Arsenal
Sare ya 0-0 dhidi ya Everton
Hatufungi mabao mengi wala kutengeneza nafasi Gusto akicheza kwenye hiyo nafasi
Tunaomba Mungu Cucurella arudi kwenye nafasi yake
 
Liverpool hawana timu ya kushindana nao kwenye mbio za ubingwa. Iwapo watashinda mchezo wao mkononi watawazidi Manchester City pointi 15 hivyo city hawana nafasi tena, Chelsea hawatakuwa consistent vya kutosha kushindana na Liverpool na Arsenal ni Arsenal. Hivyo ligi imeisha na Liverpool ndie bingwa wa EPL 2024/25
 
Mawinga aina ya Sancho na Madueke sometimes wanakera sana na style yao ya kupunguza spidi na kumsubiria adui amkabe.
Sub ya madueke kwa Pedro Neto sijaelewa....angemchomoa Sancho then neto aje upande wa Sancho... madueke angie
Liverpool hawana timu ya kushindana nao kwenye mbio za ubingwa. Iwapo watashinda mchezo wao mkononi watawazidi Manchester City pointi 15 hivyo city hawana nafasi tena, Chelsea hawatakuwa consistent vya kutosha kushindana na Liverpool na Arsenal ni Arsenal. Hivyo ligi imeisha na Liverpool ndie
 
Liverpool hawana timu ya kushindana nao kwenye mbio za ubingwa. Iwapo watashinda mchezo wao mkononi watawazidi Manchester City pointi 15 hivyo city hawana nafasi tena, Chelsea hawatakuwa consistent vya kutosha kushindana na Liverpool na Arsenal ni Arsenal. Hivyo ligi imeisha na Liverpool ndie bingwa wa EPL 2024/25
Mkuu mpira haupo hivyo Kama unavyofikiri hata hao liver pia watadrop point
 
Liverpool hawana timu ya kushindana nao kwenye mbio za ubingwa. Iwapo watashinda mchezo wao mkononi watawazidi Manchester City pointi 15 hivyo city hawana nafasi tena, Chelsea hawatakuwa consistent vya kutosha kushindana na Liverpool na Arsenal ni Arsenal. Hivyo ligi imeisha na Liverpool ndie bingwa wa EPL 2024/25
Premier league sio la liga au bundas liga, hamna alio jua au kuatabili kwamba mancity angeweza kua nafasi ya saba hata kabla ya round ya kwanza bado. nani angejua kwamba mancity angetafuta hata sare kwa astoni villa.

Premier mpaka ubakize mipira miwili ukiwa unaongoza kwa zaidi ya point 7, ndo utangazwe ubigwa, Liverpool akianza kuboroga atashangaa tuombe asipate majaraha na uchovu kwa wachezaji wake, lla bado atakae shida Premier ukiondoa Chalsea ambao haiko kwenye tittle race, tukivhukua ni Bonus tu kwetu na uzembe wa Liverpool na mancity, Mancity, bado najipa nafasi, ila kwa Arsenal sio rahisi.
 
Maresca abuni mbinu nyingine ya kushinda mechi dhidi ya timu aina ya Everton zinazocheza mpira vurugu, mtu na mtu, kukaba kwa kundi.

Pia kuwapanga wachezaji wanaoweza kutembeza mpira kwa haraka haraka kuelekea lango la mpinzani.
Hiyo mbinu ni ngimu kwasababu hatuna defence line nzuri, kwasababu kivuta timu kama hiyo inakubidi uchezee kwenye half yako mda mrefu ili utengeneneze na space uko mbele, sasa kwa goole keeper wetu sachezi na ma balishile Gusto tutajifunga haraka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom