Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata mfumo wa kuwategemea sana winga nao una changamoto. Jana winga zetu hakuna walichofanya.

Zaidi ya kusimama na mpira kumsuburia adui wampige chenga

Mi Napenda mawinga ambao wapo direct kuingia lango la mpinzani sio kupiga vichenga vya ovyo ovyo na kupoteza mpira
Hao ma winga wetu wanaweza ile hali ya 1v1 sasa Everton walikua rundo pale walikua hawawezi kupitisha mpira kirahisi ikabidi tuende kwenye plan B, ya nkunku ya kupitisha mpira kati kati ila na yeye hakuleta impact yoyote, labda tugeenda kwenye plan C ya kuwalazimisha kufanya fouls kupata short pieces.
 
Habari zenu, mko poa? Kwa nini mnalalama wakati mlisema hamtaki ubingwa hata table baadhi ya wachezaji wenu hawaangalii msimamo? Punguzeni ku jam maana mmeshasema nyie mpo mpo tu kwenye ligi hamna malengo yoyote. Wachangamsha ligi fc, nawatakiwa sikukuu njema.
 
Habari zenu, mko poa? Kwa nini mnalalama wakati mlisema hamtaki ubingwa hata table baadhi ya wachezaji wenu hawaangalii msimamo? Punguzeni ku jam maana mmeshasema nyie mpo mpo tu kwenye ligi hamna malengo yoyote. Wachangamsha ligi fc, nawatakiwa sikukuu njema.
Sasa we dogo kwahiyo kama hatuutaki ubingwa kama timu haifanyi vizuri wasiseme? Hii ni timu yetu katika mbio za kumaliza nafasi 12 za juu lazima tujidhatiti kufanya vizuri zaidi.
 
Mechi ya Everton ni upuuzi wa Jackson kwenye kuclear chances ,chance tatu za kufunga Jackson alipata ,akaishia kutikisa makalio tu kmamae , kuna points za kudrop ila sio hizi kama hivi kipuuzi puuzi dhidi ya Everton .
Sidhani kama Palmer angekosa zile chance zote kama angekuwa yeye dhidi ya Pickford .
 
Mechi ya Everton ni upuuzi wa Jackson kwenye kuclear chances ,chance tatu za kufunga Jackson alipata ,akaishia kutikisa makalio tu kmamae , kuna points za kudrop ila sio hizi kama hivi kipuuzi puuzi dhidi ya Everton .
Sidhani kama Palmer angekosa zile chance zote kama angekuwa yeye dhidi ya Pickford .
 
Mechi ya Everton ni upuuzi wa Jackson ,chance tatu za kufunga ,akaishia kutikisa makalio tu
Nilishasema hapa hatuwezi Archieve chochote tukiwa na jackon, niliwaambia kuna mechi zitaamuliwa na chances chache mbili au tatu, sasa huyo jackson anayehitaji chance 4 afunge moja, sifa yake kuu ni kupress na kukaba. Eti ndio sifa ya striker hiyo!!!

Ngoja na makocha wengine wachukue desa kw Everton.
 
Krismasi Njema, The Blues!

Katika uteuzi wake, nilijizuia kumhukumu Maresca hadi Desemba. Hata hivyo, hakuna hukumu nitakayotoa hadi leo, bali ni sifa tu na pongezi kwa kazi bora aliyoifanya hadi sasa. Timu inaonekana kuwa thabiti zaidi kuliko tulivyotarajia. Ikiwa Arsenal wataendelea kuwa Arsenal na Liverpool wakiyumba, tuna uhakika wa kushinda taji la ligi, hata kama halikuwa lengo letu la msingi tangu mwanzo wa msimu.

Kuwa na sikukuu ya Krismasi njema!
Mery Christmas.png
 
January tufanye usajili wa:-

1. CB - Kiongozi
2. DM - Mbadala wa Lavia
3. RB - Mbadala wa James

Sanchez liendelee kudaka hakuna namna.
CB sawa ila kwenye DM tunaye Santos, tukatize mkopo wake tu.
Kama Nkunku ataondoka nashauri tumsajili striker
Mbadala wa James sio muhimu kwa January labda Kiangazi kulingana na uhalisia na maendeleo ya Asheampong
 
Asheampong bado mchanga hawezi mziki wa EPL. Gusto akiumia mbadala wake ndio kituko Disasi.
Tukiwa na Lavia au Santos Caicedo ni FB mzuri kuliko hata kwenye DM kwa sababu anaweza kucheza RB na kuinvent kwenye CM
Tukimpata RB mzuri ni added advantage ila sidhani kama wamiliki watafanya manunuzi makubwa January labda kama tutauza akina Nkunku, Felix, Casadei, Carney, Disasi kwa bei nzuri
 
Wazee leo tuna mechi ngumu sana vs FULHAM.

Nilikuwa naangalia stats za Fulham mwezi Nov & Dec amecheza Mechi 8.
Win - 3
Draw - 4
Lose - 1

Katika hizo DRAW ametoa na Arsenal, Liverpool, Totte...)

Amepoteza mechi 1 dhidi ya WOLVES.

Ametoa clean sheet 2.

Kama Everton walitusumbua, tutegemee Fulham watatukera.

Bahati nzuri wanaruhusu magoli, upande wetu kufunga magoli sio tatizo bali tunapata changamoto kubwa kwenye kuzifunga team ambazo zinakaba mtu na mtu na zinazorudi haraka nyuma kujilinda.

Kazi kwake Kocha kuja na approach ambayo tutawazidi Fulham kwa kila kitu uwanjani ili tupate point 3 muhimu.
Ndgu yangu Chash money, kumbuka hii ni derby na derby huwa zinafuata historia
Chelsea wanapokutana na Derby na Fulam huwa ni ushindi tu. Leo Chelsea wako full nondo na nawaona Fulam wakijihami zaidi kuliko kucheza mchezo wao

-------------Jackson-----------------

Neto ----------Palmer----------Sancho

----Enzo----------------Caicedo-----

Cucurella ----Colwill----Tosin----Gusto

--------------Sanchez --------------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom