Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uchezaji wake siku hizi umeanza kubadilika, unaona kabisa kuna kitu makocha wanafanya juu yake. Anaongoza kutoa krosi murua kabisa, anaongoza kwenye kupeleka mipira ya hatari golini. Ameanza pia kuwaona wenzake kwa klutoa pasi. Hizo ndizo madhaifu yake makubwa huko nyuma.
Kama atatuliza akili ananafasi kubwa ya kufanya vizuri zaidi
 
Kumteua meneja kama Pochettino, ambaye anaelewa soka la kiwango cha juu, ulikuwa wito sahihi. Lakini kwenda kwa mtu aliye na uzoefu wa Championship tu? Hicho ni kiwango ambacho Chelsea hawapaswi kukishusha. Klabu hii inastahili meneja mshindani aliyethibitishwa, sio wa majaribio. Kusema kweli, ninahisi kama Chelsea inapoteza utambulisho wake kabisa.
View attachment 3180786
Usajili wowote ni kama kubahatisha tu, tunaweza kumlaumu hapa kwa haya maneno yake lakini kiuhalisia kama ingekua tofauti tungerudi tukaja kusema tungewasikiliza hawa ma Legend.

Samu Omorodion tulimtaka kutoka Atletico usajili ukashindikana dakika za mwisho Porto wakamchukua, Jhon Duran alihusishwa hawa wote watu waliwakataa lakini angalia huko walipo wanavyouwasha moto. Hatusemi kama wangekuja wangewaka kama walivyo ila sio wabovu kama watu wengi walivyo aminishwa mpaka kufikia kuwakataa.
 
Usajili wowote ni kama kubahatisha tu, tunaweza kumlaumu hapa kwa haya maneno yake lakini kiuhalisia kama ingekua tofauti tungerudi tukaja kusema tungewasikiliza hawa ma Legend.

Samu Omorodion tulimtaka kutoka Atletico usajili ukashindikana dakika za mwisho Porto wakamchukua, Jhon Duran alihusishwa hawa wote watu waliwakataa lakini angalia huko walipo wanavyouwasha moto. Hatusemi kama wangekuja wangewaka kama walivyo ila sio wabovu kama watu wengi walivyo aminishwa mpaka kufikia kuwakataa.
Duran na Omorodion wasengefaa kwenye mfumo wa Maresca. Maresca anamtaka mchezaji anayeweza kupress na kukaba hata kama ni striker. Hao uliowataja ni striker aina ya haaland anayesubiri kuhudumiwa na Maresca angewapiga benchi tu
 
Chelsea imeweka historia kwenye mashindano ya Ulaya kwa
Ushindi wa mechi 6 mfululizo
Points 18
Magoli 26 kwa mechi 6 tu
1734708131432.png
 
Wachezaji hawa wanaweza kuondoka January hii au wengine dirisha la kiangazi
1) Ben Chilwell
2) Christopher Nkunku
3) Joao Felix
4) Axel Disasi
5) Cesare Casadei
6) Carney Chukwuemeka
 
Kuna uwezekano Chelsea ikaongoza ligi Krisimamsi na mwaka mpya
Ila haina maana sisi ni title contenders, bado sisi tunafukuzia angalau tupate top 4
Unaonaje hapo
 
Wachezaji hawa wanaweza kuondoka January hii au wengine dirisha la kiangazi
1) Ben Chilwell
2) Christopher Nkunku
3) Joao Felix
4) Axel Disasi
5) Cesare Casadei
6) Carney Chukwuemeka
By the way kwa mtazamo wangu naona chillwel anaweza kabisa kucheza kwenye mfumo wa Maresca kwasababu anauwezo wa kudefence, anafunga magoal sijui kwanini kocha hamuamini maana kile kipindi Tuchel anamtumia Kama wing back alikiwasha mno mpaka Kuna wakati unamuona anaingia Kama midfilder sijui kwanini anamuona hamfai
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kuna uwezekano Chelsea ikaongoza ligi Krisimamsi na mwaka mpya
Ila haina maana sisi ni title contenders, bado sisi tunafukuzia angalau tupate top 4
Unaonaje hapo
Hapo kwenye angalau andika kwa herufi kubwa mana sisi Chelsea hatuna uhakika hata wa kuwepo top four ila tutajitahidi tuone kama itawezekana 😂
 
Wachezaji hawa wanaweza kuondoka January hii au wengine dirisha la kiangazi
1) Ben Chilwell
2) Christopher Nkunku
3) Joao Felix
4) Axel Disasi
5) Cesare Casadei
6) Carney Chukwuemeka
Dah nikimfikiria Nkunku yn mpaka nachoka aisee
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mashindano haya yamekuja wakati mwafaka ili kuwapa nafasi ya kutamba timu yetu B, vijana wachanga na wachezaji wa akademi. Wanafurahia soka san
Tatizo majeraha aliyopata na kukaa nje muda mrefu ndio hapo Cucurella akapata
By the way kwa mtazamo wangu naona chillwel anaweza kabisa kucheza kwenye mfumo wa Maresca kwasababu anauwezo wa kudefence, anafunga magoal sijui kwanini kocha hamuamini maana kile kipindi Tuchel anamtumia Kama wing back alikiwasha mno mpaka Kuna wakati unamuona anaingia Kama midfilder sijui kwanini anamuona hamfai
nafasi ya kujiimarisha zaidi na mbaya Zaidi Maresca katika kumkubali zaidi Cucurella ,Dah ! Ni mwenyewe naumia jamaa kuondoka ila hamna namna ,Veiga anaweza COVER pale , ,wachezaji kibao kwenye hiyo nafasi wapo so kuna uwezekano mkubwa wa jamaa kuondoka
 
Mashindano haya yamekuja wakati mwafaka ili kuwapa nafasi ya kutamba timu yetu B, vijana wachanga na wachezaji wa akademi. Wanafurahia soka san
Tatizo majeraha aliyopata na kukaa nje muda mrefu ndio hapo Cucurella akapata
By the way kwa mtazamo wangu naona chillwel anaweza kabisa kucheza kwenye mfumo wa Maresca kwasababu anauwezo wa kudefence, anafunga magoal sijui kwanini kocha hamuamini maana kile kipindi Tuchel anamtumia Kama wing back alikiwasha mno mpaka Kuna wakati unamuona anaingia Kama midfilder sijui kwanini anamuona hamfai
nafasi ya kujiimarisha zaidi na mbaya Zaidi Maresca katika kumkubali zaidi Cucurella ,Dah ! Ni mwenyewe naumia jamaa kuondoka ila hamna namna ,Veiga anaweza COVER pale , ,wachezaji kibao kwenye hiyo nafasi wapo so kuna uwezekano mkubwa wa jamaa kuondoka
 
Nkunku hii ndio itakuwa big loss pia ,Ila hamna namna ,sioni jamaa akibaki na ukiangalia Lundo la wachezaji kwenye hiyo nafasi hapo mbele
 
  • Thanks
Reactions: K11
Na ikitokea tukaongoza mpaka Krismasi basi ubingwa ni wetu.
Kuna uwezekano Chelsea ikaongoza ligi Krisimamsi na mwaka mpya
Ila haina maana sisi ni title contenders, bado sisi tunafukuzia angalau tupate top 4
Unaonaje hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom