Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Match Day. Come On Blues 🔵🔵🔵

Everton Vs Chelsea 17:00 PM
 

Attachments

  • IMG-20241222-WA0006.jpg
    IMG-20241222-WA0006.jpg
    236.7 KB · Views: 12
Nimesoma eti kenge zinajifariji kuchukua ubingwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hivi nyie kima kina badiashile bichwa ndio awape ubingwa, 🤣🤣

palmer mpiga nyeto awape ubingwa 🤣🤣🤣

Fofana utege km mwajuma 🤣🤣🤣🤣

Kima nyie 😎😎😎
 
Leo kocha Wang Bora wa EPL San dych mzee ea low block anawapasulia yai mgongon🤣🤣🤣🤣

Everton 4-2 kenge 😎😎😎
 
Nimesoma eti kenge zinajifariji kuchukua ubingwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hivi nyie kima kina badiashile bichwa ndio awape ubingwa, 🤣🤣

palmer mpiga nyeto awape ubingwa 🤣🤣🤣

Fofana utege km mwajuma 🤣🤣🤣🤣

Kima nyie 😎😎😎
20241222_161412.jpg
 
Leo hatukucheza vizuri sana
Ukosefu wa Cucurella umeonekana wazi, japo Gusto na Disasi wamechza vizuri ila pengo la Cucurella wetu li wazi
 
Robert Sachez akiendelea kucheza vizuri kama alivyofanya leo dhidi ya Everton, na kama akaendeleza consistency nzuri kama hii ya leo basi Maresca hajakosea kumchagua yeye kuwa kipa namba 1 wa Chelsea
1734883252756.png
 
Yeyote anayesema hii timu inapambania ubingwa akamatwe afungwe. Timu ya kupambania ubingwa haiko hivi kama iliyocheza leo. Japo Everton ni wagumu ila sisi bado tunajijenga hatuna ubavu wa kupambania ubingwa.
 
Yeyote anayesema hii timu inapambania ubingwa akamatwe afungwe. Timu ya kupambania ubingwa haiko hivi kama iliyocheza leo. Japo Everton ni wagumu ila sisi bado tunajijenga hatuna ubavu wa kupambania ubingwa.
Tangu aje Chelsea leo ndio nimeuona ubora wa Tosin, nadhani Hata Fofana akirudi anaweza asimweke benchi tena
 
Sema tu midfield ya Enzo na Caicedo hasa kucheza wote chini ya Palmer anapata shida sana kupandisha timu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom