Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,931
- 27,186
Kumzungumzia Madueke kiukweli ile game na Brentford imenifundisha kwamba huyu dogo sio mbovu kiivyo ila tu ana tatizo la kujisahau mchezoni. Yan anaacha kufanya ya msingi anaanza kucheza na jukwaa baada ya kufunga au kutoa assist.Madueke ni mchezaji mzuri lakini hajafikia viwango, ni mchoyo, hadi aache uchoyo ndipo Chelsea tuanza kuwaza ubingwa