Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika mashabiki waliokuwa hawamkumbali Jackson mimi nilikuwa miongoni, nikamtungia jina Mbabua makipa.

Ila kwa sasa nimekuwa miongoni mwa mashabiki tunaomkubali Jackson. Jamaa ameimprove sana kwenye kufunga magoli.

Na umuhimu wake uwanjani unaonekana sana kwenye pressing, kukaba, dribbling na kufunga kiufupi ana sifa nyingi sana +ve uwanjani.

Kwa uchezaji wa Maresca hatuhitaji striker wa kusimama kule mbele kama sanamu anayesubiria aletewe mipira afunge magoli na ingekuwa ni hivyo Nkuku angekuwa chaguo la kwanza.

Kocha anamuhitaji stiker aina ya Jackson anayeshiriki kukaba, kutengenza mashambulizi na kufunga magoli.

Jackson kwa sasa ni dhahabu THE BLUES otherwise aje kocha mwingine anahitaji striker sanamu kule mbele.
kuna mech tutakutana nazo unapata chance mbili tu au tatu, kw huyo jackson hatuwezi kutoboa. Ndio mana kocha anakosa kujiamini, Ubingwa huo hapo unajileta wenyewe mtu anaukataa si kutokujiamini huko, asije akawa tapeli tu kama Arteta, mafesii kibaoo.

Na msimu ujao na hao akina wakojacko cjui atajitetea nini, bora mwenzie Arteta amejijifichia zake kwenye fesii
 
We jamaa si tumeambiwa ni mtu mzima wewe?! Sasa ni nini hichi umeandika?

Kwa hiyo pia tunavyosema sanchez ni kipa mbovu, ni kwamba tunajua zaidi kuliko kocha?

Maresca ni kocha pia sio mungu kwamba hakosei. Mi kuna siku nimemkosoa daktari kwa kile nachokiamini mimi na wala sijawahi hata kuusomea udaktar, mwisho wa siku mimi ndio nilikua sahihi.

Tuache kuburuzwa kama Arsenal, Havertz anaonekana kabisa anawakaba, lakini kocha anawaaminisha kuwa pale Arsenal hakuna mchezaji kama yeye. Na yenyewe ilivyo ming'ombe inaamini.
Ungejibu swali na sio kuzunguka mbuyu
Sanchez ni mbovu kwetu sisi mashabiki na mapundit lakini kwenye pecking order ya Maresca pale Chelsea Sanchez ndie bora kuliko Jorgensen. Tunapata matokeo mazuri tena kupita tulivyotegemea, sasa tunataka nini zaidi
 
Sisi tupo kwenye harakati za kupambania kutoshuka daraja na kuhakikisha timu inamaliza kuanzia nafasi ya 12 kwenda juu. Mbio za ubingwa tunawaachia Liverpool, Arsenal na Man utd. Mtutoe kwenye mbio za ubingwa
Kabisaaaa tena wasituchoshe na mipasha yao ya kila siku. Sisi shida yetu point 3 na kurudi nyumbani yaani UEFA Champion League tumepamisi sana......msimu mmoja bila kucheza UEFA ni sawa sawa na Miaka kumi kwa Chelsea kutocheza UEFA
 
Pata maelezo zaidi kuhusu Mykhailo Mudryk. Sampuli B bado itarudi lakini kusimamishwa kwa muda kumehsafanyika. Inaeleweka kuwa hii pia inamsimamisha mafunzo ya Mudryk huko Cobham.

Mudryk anakanusha kabisa kutumia madawa hayo kwa makusudi na kupita mtihani mnamo Agosti.
Ana kampuni ya mawakili maalumu inayoshughulikia suala hilo.

Dawa inayozungumziwa ilikuwa meldonium, na kipimo cha Sampuli A kilitokea kwenye majukumu la kimataifa sio kwenye muda akiwa Chelsea. Mudryk anaamini kuwa uchafuzi ndio ulisababisha matokeo hayo chanya.

Chelsea waliifahamisha kikosi kilichocheza asubuhi ya leo na wanafanya kila wawezalo kumuunga mkono Mudryk.

Enzo Maresca amebaki kwenye kitanzi lakini kwa kawaida kama kocha mkuu hashughulikii hilo suala siku hadi siku. Alimtaja Mudryk kama mgonjwa, na inaeleweka kwamba Mudryk alirudi kutoka kwenye majukumu ya kimataifa mgonjwa pia.

Mudryk amevunjika moyo na ameazimia kusafisha jina lake. Adhabu ya juu ni kusimamishwa kwa miaka minne. Paul Pogba alipata adhabu hii awali kabla ya kupunguzwa hadi miezi 18. Maria Sharapova alikuwa na marufuku ya miaka miwili baada ya kupimwa kuwa na meldonium na hiyo ilipunguzwa hadi miezi 15.

1734452572692.png
 
Sanchez ni Garasa/Famba tu wala haiondoi ukweli ambavyo huwa anaigharimu timu pakubwa sana.

Ananikumbusha Pepe Reina wa Liverpool miaka ile kwa kuokoa mipira ambayo migumu ila mipira mirahisi kuiokoa ndiyo anaichomesha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Game na Liverpool alitucost sana aisee
 
Kilichofanyika ni Test ya A Sample (preliminary test), bado test ya B sample (Detailed test)
Kama B Sample italet matokeo mabaya, anaweza kufungiwa miaka minne
Duh ! Huyu dogo anaenda kupotea aisee .
Sijui walimtupia majini gani huyu dogo , nilikuwa na matumaini naye sana ila ndio hivyo tena ,jahazi linazama kwake
 
Ungejibu swali na sio kuzunguka mbuyu
Sanchez ni mbovu kwetu sisi mashabiki na mapundit lakini kwenye pecking order ya Maresca pale Chelsea Sanchez ndie bora kuliko Jorgensen. Tunapata matokeo mazuri tena kupita tulivyotegemea, sasa tunataka nini zaidi
Ngoja kibanda kianze kuungua ndio utajua kocha anazingua. Na wachezaji wake pendwa.
 
Hivi hawa watu kwa nini wanatulazimisha tuwe kwenye mbio wakati bado tunajenga timu. Au wanataka ujenzi uharibike ili kule mbele tusiwape vipigo?
View attachment 3178712
Sio kwamba wanalazimisha, Maresca mwenyewe anasema hivyo ili kupunguza presha kwa wachezaji. Ila ukweli halisi Chelsea iko kwenye kupigania ubingwa wa ligi. Ndio maana huyo huyo Maresca anashangilia na kufurahia sana pindi mpira unapo isha na kuondoka na pointi tatu.

Itakuwa ni upumbavu mkubwa kusema hauko kwenye mbio za ubingwa wakati hapo nyuma umetumia 1B kwenye usajili. Kwa maana nyingine Maresca ana waanda watu kisaikolojia ili akishindwa kuchukua huo ubingwa asiwe na lawama. Maresca, mimi sio mtoto mdogo unidanganye eti Chelsea haiko kwenye mbio za ubingwa wakati naona kabisa kwa sasa wachezaji wanaingia uwanjani wana fosi kabisa kushinda mechi.
 
Ndo maana nasema mbona kukuwera anakimbia kama ana wazimu uwanjani kumbe ni nguvu ya mihadarati.
hapa hii timu nzima ipimwe aise.
1734499768505.jpg
 
Leaked photo of part of Mihadarati fc players lining up yakutolewa damu ipimwe, wame ambiwa it's either watoe da
1734500000471.jpg
mu wenyewe ama wafungwe kwa mti watolewe damu by force. Things are going south for that Fulham Road outfit, it's kicking and going 🤣🤣
 
Leaked photo of part of Mihadarati fc players lining up yakutolewa damu ipimwe, wame ambiwa it's either watoe daView attachment 3179306mu wenyewe ama wafungwe kwa mti watolewe damu by force. Things are going south for that Fulham Road outfit, it's kicking and going 🤣🤣
Unashika nafasi ya ngopi? Wewe ulitakiwa uzungumze na midtable wenzako sio kuja huku kupiga kelele
 
Sio kwamba wanalazimisha, Maresca mwenyewe anasema hivyo ili kupunguza presha kwa wachezaji. Ila ukweli halisi Chelsea iko kwenye kupigania ubingwa wa ligi. Ndio maana huyo huyo Maresca anashangilia na kufurahia sana pindi mpira unapo isha na kuondoka na pointi tatu.

Itakuwa ni upumbavu mkubwa kusema hauko kwenye mbio za ubingwa wakati hapo nyuma umetumia 1B kwenye usajili. Kwa maana nyingine Maresca ana waanda watu kisaikolojia ili akishindwa kuchukua huo ubingwa asiwe na lawama. Maresca, mimi sio mtoto mdogo unidanganye eti Chelsea haiko kwenye mbio za ubingwa wakati naona kabisa kwa sasa wachezaji wanaingia uwanjani wana fosi kabisa kushinda mechi.
Wote tunatambua kwamba hakuna asiyeutaka ubingwa. Na ukishinda mechi yoyote ile lazima ufurahi. Nadhani anachokifanya Maresca sio kuwaandaa watu endapo atashindwa kuchukua ubingwa anachokifanya ni kuituliza timu na wachezaji wasiingie kwenye wenge na kupoteana kisaikolojia. Naamini haya kwa sababu hata waliompa kazi sidhani kama walimwambia msimu huu alete PL tittle.

Kwahiyo anachokifanya Maresca ni kupooza joto la waandishi wanaotaka aseme anawania ubingwa then pressure itaenda kwa wachezaji baada ya hapo hakutakua na mentality ya kushinda kila mechi. Lakini kiuhalisia ile nginja nginja ya kila mechi kama hii dhidi ya Spurs na Brentford unajua kabisa hii ni mentality ya ubingwa
 
Wote tunatambua kwamba hakuna asiyeutaka ubingwa. Na ukishinda mechi yoyote ile lazima ufurahi. Nadhani anachokifanya Maresca sio kuwaandaa watu endapo atashindwa kuchukua ubingwa anachokifanya ni kuituliza timu na wachezaji wasiingie kwenye wenge na kupoteana kisaikolojia. Naamini haya kwa sababu hata waliompa kazi sidhani kama walimwambia msimu huu alete PL tittle.

Kwahiyo anachokifanya Maresca ni kupooza joto la waandishi wanaotaka aseme anawania ubingwa then pressure itaenda kwa wachezaji baada ya hapo hakutakua na mentality ya kushinda kila mechi. Lakini kiuhalisia ile nginja nginja ya kila mechi kama hii dhidi ya Spurs na Brentford unajua kabisa hii ni mentality ya ubingwa
Umeongea point kubw amkuu. Kocha hataki distruption
Anaujua Chelsea kuliko sisi, hao vijana wanafanya vizuri ila sio kwamnba wamekomaa na kuwa wazoefu over the sudden. Kelele za ubingwa zinaweza kuwatoa kwenye focus. Focus ya Maresca ni kuhakikisha kila kosa kwenye mechi ya wiki hii linatatuliwa kwenye mechi inayofuata. Na ndio maana yuko very details kwa hata vile vitatizo tudogodogo sana.
Hawa wachezaji wakishapata uzoefu na kukomaa kiakili na kitaaluma, Chelsea itakuwa moto wa kuotea mbali. So kutotaka ubingwa sio hadaa, ni reality. Hatuna timu ya kubeba ubingwa. Wachezaji bado wanajifunza kuwa pamoja, kuweka balance, kuweka kwenye vitendo falsafa ya kocha,. Madueke ni mchezaji mzuri lakini hajafikia viwango, ni mchoyo, hadi aache uchoyo ndipo Chelsea tuanza kuwaza ubingwa
Enzo Fernandez ni mchezaji mzuri sana lakini bado anajiangusha angusha na kupoteza mipira kijinga sana hata mkama kwenye attack ni mzuri.
Sanchez ni wa hovyo sana kwenye maamuzi japo ni mzuri sana kwenye distrib ution na shot stopping. Tosin ni beki mzuri sana lakini bado mzito na hajaweza bado kuusoma mchezo, saikolojia ya kushambuliwa hajaipata bado. Tunaendelea kuijenga stamina ya Palmer. Bado tunajenga hali ya kujiamini kwa Badiashile. Possibly bado tunahitaji LCB.

Haya yote na kasoro zingiken kwa wachezaji mmoja mmoja zikshaondoka kwa sehemu kubwa ndio sasa tunatangaza rasmi kwamba tunataka EPL na hakuna atakayesimama kwenye njia yetu wakati huo ukifika
 
HATIMAYE Josh Acheampong amesaini mkataba wa miaka mitano
Na hapo hapo ameingizwa rasmi kwenye first team yeye na Tyrique George na wameshyapewa Locker yao pale Cobham Training Ground

1734541521905.png
 
Wakuu vp leo tunaingia na kikosi kipi maana sasa tuna vikosi kama 3 hivi na vyote vinagombea first eleven.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom