Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,621
Wewe kweli kitalembwa kwamba lavia anacheza CB?😂Sancho mjengoni, lavia CB, fofana RB, mtapigwa kama ngoma, save hii comment !
Nafikiri Ni 3-2-4-1..cuculera colwill na fofana nyuma.......caicedo na lavia katikati......hao wanne sancho ,palmer, enzo, pedro neto....mbele jackson....tukiwa kwenye buildupKwa nn Caisedo acheze RB wakita Gusto yupo bench?
Ooh ngoja tusubiri game ianze tuone hope itakua hivyoNafikiri Ni 3-2-4-1..cuculera colwill na fofana nyuma.......caicedo na lavia katikati......hao wanne sancho ,palmer, enzo, pedro neto....mbele jackson....tukiwa kwenye buildup
Hiyo formation wakati Chelsea inamiliki mpira, mikipoteza tu inarudi kwenye ile ya kawaidaNafikiri Ni 3-2-4-1..cuculera colwill na fofana nyuma.......caicedo na lavia katikati......hao wanne sancho ,palmer, enzo, pedro neto....mbele jackson....tukiwa kwenye buildup
Chuma ya ngapi?Leo tutaua mtu
Rb ni Moses,,,kosa la kiufundiWewe kweli kitalembwa kwamba lavia anacheza CB?😂
1Chuma ya ngapi?
Nilishasema Jackson lazima Balloon dor mwakani inamuhusu. Yuko kwenye fomu ya hatarii. Na liver baadaye anapigwa za kutosha.Chuma ya ngapi?
Mtaalamu as long as una internet mbona unaangalia mpira vizuri tuLeo Najilaumu sana kuikosa Hii mechi.
Mkosi Madueke kupigwa benchi Ilikuwa sio mechi ya kukosa