Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,780
- 9,148
Uko wapiLeo Najilaumu sana kuikosa Hii mechi.
Mkosi Madueke kupigwa benchi Ilikuwa sio mechi ya kukosa
Uko wapiLeo Najilaumu sana kuikosa Hii mechi.
Mkosi Madueke kupigwa benchi Ilikuwa sio mechi ya kukosa
Unatumiaga application/website gani mkuuMtaalamu as long as una internet mbona unaangalia mpira vizuri tu
Yeah ndo maana nilisema tukiwa kwenye build up...tukidefence tunakuwa hvyo km ulivyosemaHiyo formation wakati Chelsea inamiliki mpira, mikipoteza tu inarudi kwenye ile ya kawaida
Yaani Enzo anashuka kwenye midfield kuungana na Lavia na Caicedo anaenda kwenye RB huku Cucurella, Colwill na Fofana wakibaki mabeki wa katikati.
Unaangalia kupitia livescore ndo shidaRb ni Moses,,,kosa la kiufundi
unachokonolewa kinyeo sio bure kuwashwa hukuUnaangalia kupitia livescore ndo shida
Haya sio majibu ya kimichezo wadauunachokonolewa kinyeo sio bure kuwashwa huku
Daah tumeongeza lingineNiko kwenye bus safarini
Ars, cz wakilingana kila kitu then A comes b4 C
Cricfy tv au football live tv search kwa Google usiende play storeUnatumiaga application/website gani mkuu
POle sana umeumia na matokeo😂😂😂 bwana kifirembwaunachokonolewa kinyeo sio bure kuwashwa huku
Vipi hyo cricfy haili mb sana?Cricfy tv au football live tv search kwa Google usiende play store
Nimependa sana alivyoimprove yeye pamoja na caicedo...nikikumbuka kipindi kile cha potter wakati wamesajiliwa cucurella alikuwa ndio uchochoro wetu mixer kufanya vituko ( sijui alikuwa hajiamini) lkn sasahv km kazaliwa upya upande wake umekuwa mgumu kupitika 1v1 humtoki kirahisiMarc Cucurella amekomaa kuwa Fullback kamili sasa. Sasa anaweza kukaba, kunyang'anya mipira, kushinda mipira ya juu na chini, sio tu kupiga pasi za nyuma na za pembeni tu kama ilivyokuwa msimu uliopita lakini pia anaweza sasa kupiga pasi za kuvunja mstari wa wachezaji na kuwachezesha wengine kwa kwa pasi nzuri fupi fupi.
View attachment 3166694
Mimi shabiki wa🤣🤣🤣🤣🤣hahaaaa kmamae Una chuki binafsi na Chelsea ' ,ila leo kaa ukijua Aston villa tunamywa supu
Cucurela ni mtu na nusu .nimeona Leo right fullback ni cancedo...lakini wakati wa kushambulia anaingia katikati....kusaidia lavia na Enzo...fofana injury but sijui itakuwa mda ganiNimependa sana alivyoimprove yeye pamoja na caicedo...nikikumbuka kipindi kile cha potter wakati wamesajiliwa cucurella alikuwa ndio uchochoro wetu mixer kufanya vituko ( sijui alikuwa hajiamini) lkn sasahv km kazaliwa upya upande wake umekuwa mgumu kupitika 1v1 humtoki kirahisi
Pochetino ilibaki kidogo aamuuze january, pumbaf sanaMarc Cucurella amekomaa kuwa Fullback kamili sasa. Sasa anaweza kukaba, kunyang'anya mipira, kushinda mipira ya juu na chini, sio tu kupiga pasi za nyuma na za pembeni tu kama ilivyokuwa msimu uliopita lakini pia anaweza sasa kupiga pasi za kuvunja mstari wa wachezaji na kuwachezesha wengine kwa kwa pasi nzuri fupi fupi.
View attachment 3166694