uyu lavia kipindi yupo southampton mbona alikua hana historia ya majeraha ya muda mrefu?Unamsingizia tu bundi wa watu, hao wanajulikana hapo bado james.
Fofana yuko fit, wote wameanza mazoezi leo. Bado Gusto na LaviaHapa sasa ndio upana wa kikosi unaanza kuonekana. Na bado wataongezeka James is loading
Mourinho alishawahi kusema hazard tutakuja kumpoteza mapema kwenye soka kutoka na waamuzi kushindwa kumlinda, kama ulikua unafatilia alikua ndio mchezaji aliekua anafanyiwa faulo nyingi kwa kipindi kile ndani ya Epl,Hazard wa Chelsea hakuwahi kupata injury, ila hazard wa Madrid akajeuka kuwa mhudumu wa Hospital.
Duh huyo jamaa mwaka huu ametisha. Anafunga sio mchezo
Mechi ilichezwa alfajiri, imeisha Argentina moja bila.
Kuna namna Maresca anamkosea sana Enzo kwa kumpga benchi, siku akisepa tunaanza tena kuingia sokoni kutafuta mchezaji kama Enzo.
View attachment 3156735
Hiyo ni contract ya mwaka mmoja, Pep hataki ya muda mrefu, sijui kwa niniKwenye Epl cup shida iko palepale.View attachment 3157616
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naitwa Reece James nimesajiliwa THE BLUES kula mshahara wa bure, Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam.
😂😂😂😂Naitwa Reece James nimesajiliwa THE BLUES kula mshahara wa bure, Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam.
Habari zenu. Reece James tayari uko.
James bana hata akiwa anakaa, anashikwa na msuli🚨⚠️ Reece James has suffered new injury, says Enzo Maresca.
“Unfortunately Reece felt something small and we don't want to take a risk for this game”.