Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi dhidi ya nyumbu baada ya kufungwa moja Caisedo alirudisha kwa bao kali sana, naona imejirudia leo tena kwa Neto 🔥
 
Ila Nkunku wanamuonea bhana, ndo nn sasa kuingia dkk hizi au wanataka jamaa atingishe kiberiti kuondoka ndio wamuelewe 😂
 
Mechi ya 11, ni Liverpool na Man city tu ndizo timu bora zaidi ya Chelsea
1731263733596.png
 
Huu mfumo wa kulazimisha Gusto awe midfielder au winger wakati wa kushambulia ni useless ni mchezaji mbovu kwenye final third
Hata mimi naona useless kwa sababu8 Gusto sio clinical kwenye kufunga. Anatoa nje mipira mingi ya golden chance
 
Nataka kusema ili Chelsea ipate magoli naona ENZO anatkiwa zaidi kuliko LAVIA mwalimu kuachr benchi Enzo sijui au ndio hiyo balance yake
 
Bao la kusawasisha Enzo Fernandez kafanya vitu vyake. angekuwa mchezaji mwingine angetafuta kupeleka mpira nyuma au nkwa mawinga pembeni
Kuna watu humu hawajui umuhimu wa Enzo naonaga wanaongea tu, nangoja auzwe kwa timu nyingine tutakuja kujutia huo uamuzi.
 
Hakuna mchezaji bora awe na milonjo km palmer 😆

Palmer miguu imeanzia kiunoni mirefu km nn😆

Gadiola sio mjinga uyu palmer ntamkata nsimu huu😀
 
Sema timu bado ina small mentality haswa kwenye big game hatutaki kabisa kukimbia, kuwa aggressive kwenye kukaba, pressing za kutimiza wajibu sio za kumfanya adui apozete mpira, morali mpaka tuwe nyuma inshort tunaamini sare ni matokeo mazuri
 
Tuko wa tatu nyuma ya Liverpool na Man city. Timu inasukwa na inafanya vizuri. Nyie hata shu7krani hamna,. ebo!
Inasukwa nn sasa hapo na kiwa wa 3 nyuma ndio nni timu haina uhakika kwa matokea inabahatisha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom