Bado tunajenga team.Yaani ubingwa msimu huu uko wazi kabisa, tushidwe sisi tu.
Bado tunajenga team.
Timu bado changa kubeba EPL, msimu huu tukimaliza top 4 yatakuwa mafanikio makubwa sana katika ujenzi wa THE BLUES mpya.Chelsea mara Pa na Pu tyunabeba ubingwa, nani anabisha
Mechi itakuwa ngumu sana, kumbuka timu iliyofukuza Kocha jinsi inavyojitutumuaga kumsahihisha Kocha aliyeondoka hakuwa sahihi, pia Wachezaji kumuaminisha Kocha mpya wako vizuri kiuwezo.Arsenyetoz na manshity wamekamuliwa mbolea leo ,,,kesho inabidi tuhakikishe tunamfunga kilaza mwanitesa yunaitedi .
Chelsea wakiwa kwenye kiwango kizuri watashinda bila kujali man u itachezajeMechi itakuwa ngumu sana, kumbuka timu iliyofukuza Kocha jinsi inavyojitutumuaga kumsahihisha Kocha aliyeondoka hakuwa sahihi, pia Wachezaji kumuaminisha Kocha mpya wako vizuri kiuwezo.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Dah Bakayoko alikuja na jina kubwa sana. Aliyemsajili Badieshile akamatwe haraka sana. Disasi a.k.a Kondoo wa Merino tumuuze Crystal palace.Ole wake nisikie tena kuna mchezaji anatoka Monaco anakuja Chelsea, matapeli wakubwa
Hivi Badiashile si alisajiliwa na Tod Boehly wakati ule akishikilia nyasfa zote za juuDah Bakayoko alikuja na jina kubwa sana. Aliyemsajili Badieshile akamatwe haraka sana. Disasi a.k.a Kondoo wa Merino tumuuze Crystal palace.
Sajili nyingi za Toddy zilikuwa zoazoa mazagazagaHivi Badiashile si alisajiliwa na Tod Boehly wakati ule akishikilia nyasfa zote za juu
Chelsea in January 2023 on a seven-and-a-half-year contract.
Chelsea Chairman Todd Boehly and co-controlling owner Behdad Eghbali added: “We're delighted to welcome Benoit to Chelsea. He's an excellent young player who has quickly established a strong reputation for himself and has a huge amount of experience for his young age.
Bado ana mktaba wa mika 6 an nusu
Kikosi hiki hapa twende tukampasue nyumbu placentaTHE BLUES vs NYUMBU
Pazia la Ngorika bus
James
Fofana
Colwill
Gusto
Lavia
Caicedo
Madueke - Japo sio kwa umuhimu
Palmer
Neto (Kimbunga)
Jackson