Sijui hawa makapurwa walipenyezaje hadi LondonBadiashire & disasi matakataka
Takataka kabisa hawaSijui hawa makapurwa walipenyezaje hadi London
Najiulizaga na kukosa majibu kabisa, inakuwaje akina Jackson wanacheza soka Ulaya tena EPL ilihali akina Mayele wako Africa?Sijui hawa makapurwa walipenyezaje hadi London
Tumechezesha team bChelsea hamna timu pale
Sasa mkuu Jackson ana ubaya ganiNajiulizaga na kukosa majibu kabisa, inakuwaje akina Jackson wanacheza soka Ulaya tena EPL ilihali akina Mayele wako Africa?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ni mzuri ila ile standard waliyokuwa nayo akina Van Pasie au Diego Costa bado hana.Sasa mkuu Jackson ana ubaya gani
sasa mkuu jackson kafanga nini?? Hao wakina Van Persie n Costa katika age ya Jackson walikuwa wanafanya niniNi mzuri ila ile standard waliyokuwa nayo akina Van Pasie au Diego Costa bado hana l.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Jackson ana miaka 22 ana potential kubwa ya kuwa striker mkubwa huyo Drogba na Diego Costa wamekuwa bora kuanzia miaka 25+Ni mzuri ila ile standard waliyokuwa nayo akina Van Pasie au Diego Costa bado hana l.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Swali zuri umemuulizasasa mkuu jackson kafanga nini?? Hao wakina Van Persie n Costa katika age ya Jackson walikuwa wanafanya nini
Vikombe kama hivi alitakiwa aanze kuvikusanya kwanzaEnzo Maresca anakwambia wakati anapewa mkataba wa kazi hakuna kipengele chochote kilichomtaka kubeba Kombe wala kumaliza top 4 EPL. Bali ni kuhakikisha anajenga team ambayo miaka 4 au 5 ijayo inaweza kuwa shindani kwenye makombe.
Mashabiki kwa Sasa tuache kuwa na over expectation ya kushinda kila mechi, team bado ina kikosi kichanga, tumuache kocha andelee kujenga team kwa principle ya Try & error mpaka ajipate.
Diego Costa alikuja Chelsea alishakuwa world class na akiwa na miaka 26Ni mzuri ila ile standard waliyokuwa nayo akina Van Pasie au Diego Costa bado hana l.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Timu bado changa haina uwezo wa kuanza kubeba vikombe kwa sasa, tuheshimu kauli ya kocha mpaka misimu 4 au 5 ijayo.Vikombe kama hivi alitakiwa aanze kuvikusanya kwanza