Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Enzo Maresca anakwambia wakati anapewa mkataba wa kazi hakuna kipengele chochote kilichomtaka kubeba Kombe wala kumaliza top 4 EPL. Bali ni kuhakikisha anajenga team ambayo miaka 4 au 5 ijayo inaweza kuwa shindani kwenye makombe.

Mashabiki kwa Sasa tuache kuwa na over expectation ya kushinda kila mechi, team bado ina kikosi kichanga, tumuache kocha andelee kujenga team kwa principle ya Try & error mpaka ajipate.
Alipokuja Potter maneno yalikua haya haya, akaja Poch maneno yakawa hayahaya, sasa hivi kipara nae maneno ni hayahaya. Ataondoka atakuja mwingine bado itakua hivi kila msimu tunapishana na makombe kwa sababu wapo kwenye process za kujenga timu imara miaka 3-4 ijayo. SMH!!!

Hii sio Chelsea yangu nayoipenda na kuijua.
 
Alipokuja Potter maneno yalikua haya haya, akaja Poch maneno yakawa hayahaya, sasa hivi kipara nae maneno ni hayahaya. Ataondoka atakuja mwingine bado itakua hivi kila msimu tunapishana na makombe kwa sababu wapo kwenye process za kujenga timu imara miaka 3-4 ijayo. SMH!!!

Hii sio Chelsea yangu nayoipenda na kuijua.
Mkuu kwani kutochukua makombe since Abromovich aondoke changamoto ni makocha au wamiliki?
 
Timu bado changa haina uwezo wa kuanza kubeba vikombe kwa sasa, tuheshimu kauli ya kocha mpaka misimu 4 au 5 ijayo.

Tumuache kocha aendelee kusuka mifumo, mbinu & style za uchezaji na kuendelea kufanya sajili za kimkakati.
Hizi ndio kauli za makocha wasio na uwezo kama Arteta. Atajificha kwnye hicho kichaka cha kujenga timu miaka minne tupo tu makombe yanachukuliwa na wengine. Ni ufala.
 
sasa mkuu jackson kafanga nini?? Hao wakina Van Persie n Costa katika age ya Jackson walikuwa wanafanya nini
Hii issue ya age ndiyo kinga pekee iliyobakia, je akina Disasi na Badiashile pia tuendelee kujipa matumaini kwa kigezo cha umri?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Jackson ana miaka 22 ana potential kubwa ya kuwa striker mkubwa huyo Drogba na Diego Costa wamekuwa bora kuanzia miaka 25+
Ila maisha bhana, ngoja tuwe na subira tuone ila kiukweli ni tia maji tia maji sana.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Diego Costa alikuja Chelsea alishakuwa world class na akiwa na miaka 26
Mnapolinganisha wachezaji muwe fair kwa level ya mchezaji
Ulishawahi fikiria akina Van Pasie, Costa, Didie Drogba performance yao ilikuwaje wakiwa kwenye level ya Jackson?
Chifu imeenda hiyo....

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hii issue ya age ndiyo kinga pekee iliyobakia, je akina Disasi na Badiashile pia tuendelee kujipa matumaini kwa kigezo cha umri?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Jackson sio world class striker ila kwa kiwango alichoonyesha recently ni Halaand tu pale EPL ndio bora zaidi yake
Mechi ya J2 alikuwa anapress, anadrop kuchukua mipira, anafanya turnover
Jackson ampunguza kuangukaanguka kama ana degedege ambayo tunasema ni sign ya improvement
Tatizo ambalo bado analo ni anacount sana legs kabla ya kushoot
Mechi ya jumapili Isack alikosa clear chance, angekuwa Jackson dunia ingesimama
 
Hii issue ya age ndiyo kinga pekee iliyobakia, je akina Disasi na Badiashile pia tuendelee kujipa matumaini kwa kigezo cha umri?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kuna huyo kiazi anaitwa Badiashile aisee hana akili hata kidogo ananikera akiwa na mpira anasimama nao hapo hapo anaangalia ampasie nani hata kama kuna room ya yy kusogea na mpira ataganda nao hapo hapo kama katiwa gundi, atasimama nao hat dk.2 anaishia kutoa back pass. Cjui huwa haangalii akina VVD wanavyofanyaga.
 
Ila maisha bhana, ngoja tuwe na subira tuone ila kiukweli ni tia maji tia maji sana.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mkuu humu ndani sidhani kama kuna mtu alikua ananizidi mimi kumkandia Jackson. Msimu uliopita na msimu huu kiukweli jamaa ame improve sana. Kinachofanya nianze kumkingia kifua ni ukweli kwamba umri wake bado mdogo anayo nafasi kubwa kubadilika na kufanya vizuri zaidi. Japo daraja lake bado ni average hayupo juu (Classy) sana
 
Kuna huyo kiazi anaitwa Badiashile aisee hana akili hata kidogo ananikera akiwa na mpira anasimama nao hapo hapo anaangalia ampasie nani hata kama kuna room ya yy kusogea na mpira ataganda nao hapo hapo kama katiwa gundi, atasimama nao hat dk.2 anaishia kutoa back pass. Cjui huwa haangalii akina VVD wanavyofanyaga.
Hiyo style yake ya kusimama kimuonekano utadhani kabanwa na haja kubwa.
 
Hii issue ya age ndiyo kinga pekee iliyobakia, je akina Disasi na Badiashile pia tuendelee kujipa matumaini kwa kigezo cha umri?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Usibadili mada, mashambulizi yalikuwa kwa Jackson na majibu yametolewa kwa kumtetea Jackson sio Disasi
Van Pasie na Costa katika umri wa Jackson walifanya nini? jibu swali
 
Kuna huyo kiazi anaitwa Badiashile aisee hana akili hata kidogo ananikera akiwa na mpira anasimama nao hapo hapo anaangalia ampasie nani hata kama kuna room ya yy kusogea na mpira ataganda nao hapo hapo kama katiwa gundi, atasimama nao hat dk.2 anaishia kutoa back pass. Cjui huwa haangalii akina VVD wanavyofanyaga.
Stupid kabisa, kumbe na wewe umekerwa na hiyo tabia, anashika na kiuno kabisa akisubiri mpinzani aje
Natamani Disasi na Badisahile wasiwepo kabisa msimu ujao
 
.
20241102_084857.jpeg
20241102_084842.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom