Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sioni hata goli linatokea wapi hapa leo.

Mpira wa hovyo unachezwa.
 
Hivi ule mpira Fofana ni wakuukosa kwa kichwa kama sio utakataka tunausema humu
Alijiposition vbibaya na ndio tabia yake. Ule mpira asingeweza kuukuta. Alitakiwa kuhisi mashambulizi arudi nyum,a ili aweze kumkabili oponent
 
Tumecheza vizuri point 1 muhimu. Timu inaenda ikiimarika ukilinganisha na msimu uliopita.
Kitu kilichokosekana ni ubunifu wa na agressiveness hasa kwa upande wa mawinga wetu leo. Madueke alipoa sana na Neto moment zake za kufanya vizuri huwa ni chache na ndio maana Sacho akiwa kwenye form ni vigumu sana Neto kuanza
 
Kitu kilichokosekana ni ubunifu wa na agressiveness hasa kwa upande wa mawinga wetu leo. Madueke alipoa sana na Neto moment zake za kufanya vizuri huwa ni chache na ndio maana Sacho akiwa kwenye form ni vigumu sana Neto kuanza
Kikosi bado kichanga tuwape muda Kochana wachezaji hope wataimarika huko mbeleni. Tuvumilie kwa sasa wakati timu inajengwa. Ki takwimu tuko vizuri mpaka sasa ukilinganisha na msimu uliopita.
 
Kila uchwao nawambia hapa, kocha nae ni takataka tu.
Kocha takataka tena? Huu ndio kwanza mwezi 4 kama kocha, wachezaji na Kocha bado wanaendelea kusomana na kuelewana. Tuwape muda angalau mwaka 1 mifumo isomane.

Tuachane na matarajio ya kubeba ubingwa wala kumaliza top 4. Tupime kuimarika kwa timu ukilinganisha na tulipotoka na mbele kuna mwanga?
 
Performance yetu dhid ya UTD ndio worse performancev mpka sasa katika game tulizocheza.

Jana tulikuwa clueless tukifika final third.

Maresca ni mda wa kuacha kufanya majaribio ya James na Gusto.

Maresca jins alivyoserious na wachezaj wengine wanaozingua inabidi awe serious na na hawa Gusto,Madueke na Sanchez + Fofana
 
Kocha takataka tena? Huu ndio kwanza mwezi 4 kama kocha, wachezaji na Kocha bado wanaendelea kusomana na kuelewana. Tuwape muda angalau mwaka 1 mifumo isomane.

Tuachane na matarajio ya kubeba ubingwa wala kumaliza top 4. Tupime kuimarika kwa timu ukilinganisha na tulipotoka na mbele kuna mwanga?
na kocha naye mchanga tumpe muda
na wamiliki nao wachanga tuwape muda
mpaka lini?
 
Performance yetu dhid ya UTD ndio worse performancev mpka sasa katika game tulizocheza.

Jana tulikuwa clueless tukifika final third.

Maresca ni mda wa kuacha kufanya majaribio ya James na Gusto.

Maresca jins alivyoserious na wachezaj wengine wanaozingua inabidi awe serious na na hawa Gusto,Madueke na Sanchez + Fofana
Kuchezesha wachezaji nje ya nafasi sio tatizo kwangu. Tatizo huanza wakati mbinu haifanyi kazi. Kumchezesha Gusto nje ya nafasi haifanyi kazi hata kidogo na ikiwa Maresca atakuwa mgumu kurekebisha hilo, atakuwa kwenye kapu moja na Pochettino. Natumai Mechi zijazo Gusto atakuwa sub ya James na sio lazima waanze wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom