Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashabiki wameanza kulalamika kwa kukosekana kwa Enzo Fernandez kwenye safu ya kiungo. Mechi ya jana alikuwa Caicedo ambaye alijaribu kutengeneza nafasi. Lavia anacheza vizuri lakini hafikii anakosa ubunifu wa Enzo Fernandez wakati huo huo Enzo Fernandez si mzuri katika kukaba anaposonga mbele katika ushambuliaji. Anaacha pengo kubwa kwenye safu ya kiungo na kumfanya Caicedo alemewe kupita kiasi.

Sasa nini kifanyike? Labda kocha angejaribu safu ya CM tatu yaani 4-3-3.

Enzo ----------Lavia ------------ Caicedo
watacheza pamoja kudhibiti katikati ya uwanja huku Enzo akiwa na uhuru wa kufanya mambo yake.
 
Performance yetu dhid ya UTD ndio worse performancev mpka sasa katika game tulizocheza.

Jana tulikuwa clueless tukifika final third.

Maresca ni mda wa kuacha kufanya majaribio ya James na Gusto.

Maresca jins alivyoserious na wachezaj wengine wanaozingua inabidi awe serious na na hawa Gusto,Madueke na Sanchez + Fofana
Chief ulishawahi kuwa kocha angalau timu ya mtaa au ya kikundi au shule? Maresca mpaka amepewa THE BLUES timu kubwa duniani sio kwamba ana CV za kuunga unga na soletepu.

Anachokifundisha na maamuzi anayochukua ni kutokana na taaluma na utashi wake. EPL sio mpira wa makaratasi useme unajipangia tuu kikosi bora liende. Benchi la ufundi makocha zaidi ya 5 wanajua wanachofanya mzee.

Tuheshimu maamuzi ya kocha hakuna cha majaribio ya wachezaji uwanjani bali ni uwajibikaji kwa majukumu mchezaji unayopangiwa kwa kadri kocha anavyoona yanakufaa
 
Mashabiki wameshaanza kulia kukosekana kwa Enzo kwenye kiungo. Mechi ya Jana ni Caicedo ndie kajitahidi kubuni vitu. Lavia anakama vizuri lakini hafikii ubunifu wa Enzo Fernandez wakati huo huo Enzo Fernandez sio mzuri kwenyue kukaba anapokuwa advanced kwenye kushambulia. Anaacha gap kubwa kwenye kiungo na kumfanya Caicedo alemewe.
Sasa nini kifanyike. L:abda kocha angejaribu line up ya viungo watatu yaani 4-3-3 ambapo

Enzo ---------Lavia ----------- Caicedo watashirikiana kuthibiti sehemu ya katikati huku Enzo akiwa na uhuru wa kufanya vitu vyake
Ndio kwanza miezi 4 ya kocha kazini. Tumpe muda anajua anachofanya uwanjani. Sisi tunaona timu ikicheza tuu hatujui huko uwanjani kinafanyika nini mpaka kocha anaamua kuja na selection ya wachezaji kwenye mechi.
 
Mashabiki wameanza kulalamika kwa kukosekana kwa Enzo Fernandez kwenye safu ya kiungo. Mechi ya jana alikuwa Caicedo ambaye alijaribu kutengeneza nafasi. Lavia anacheza vizuri lakini hafikii anakosa ubunifu wa Enzo Fernandez wakati huo huo Enzo Fernandez si mzuri katika kukaba anaposonga mbele katika ushambuliaji. Anaacha pengo kubwa kwenye safu ya kiungo na kumfanya Caicedo alemewe kupita kiasi.

Sasa nini kifanyike? Labda kocha angejaribu safu ya CM tatu yaani 4-3-3.

Enzo ----------Lavia ------------ Caicedo
watacheza pamoja kudhibiti katikati ya uwanja huku Enzo akiwa na uhuru wa kufanya mambo yake.
Enzo afanya vitu vyake vip hivyo
 
Ni mda sasa wa Maresca kuwa serious kwa Sanchex tofauti na hivyo katika game za kushinda 1 hatutoweza pata kwa sababu ya uzembe wake mda wowote anakuchomesha .

Aliyemsajili Sanchez anastahili viboko
Aliyemsajili Sanchez, Madueke, Enzo Badiashile, Disasi, Felix na Fofana anapaswa apigwe mijeledi hadharani, aburuzwe na farasi barabarani achubuke damu mwili mzima afie mbele 😡

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kitu kilichokosekana ni ubunifu wa na agressiveness hasa kwa upande wa mawinga wetu leo. Madueke alipoa sana na Neto moment zake za kufanya vizuri huwa ni chache na ndio maana Sacho akiwa kwenye form ni vigumu sana Neto kuanza
Neto jana alipambana sana kama vile timu ni ya Babaake Mzazi, shida ni Maresca kung'ang'ania kuanzisha matakataka niliyoyataja hapo awali sijui yanampa nini haswa 🤔😡

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Neto jana alipambana sana kama vile timu ni ya Babaake Mzazi, shida ni Maresca kung'ang'ania kuanzisha matakataka niliyoyataja hapo awali sijui yanampa nini haswa 🤔😡

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Enzo na Felix hawakuanza jana nao umewataja
Enzo jana angeanza ubunifu ungekuwepo. Udhaifu wa Enzo uko kwenye kufanya manmarking, akienda mbele anajisahau kurudi haraka kusaidia kukaba.
 
Jana Lisandro Martinez alistahili red card kwa asilimia 60 kwa rafu aliyomfanyia Palmer kwenye goti lake
 
Kama Enzo Fernandez, Felix, Madueke, Fofana na Sanchez ni matakataka, basi tungesajili wachezaji bora kuliko wao, leo hii, saa hii FA ingebidi tu watukabidhi kombe na kusitisha iligi kwa sababu Chelsea ingekuwa timu hatari sana. Kila timu ina ups and down, kila mchezaji ana ups and downs. Kuna wakati kila mchezaji form yake iko juu na tunashinda mechi na mashabiki wa Chelsea kung'ara nyuso zao popote walipo duniani. Pia kuna nyakati form za wachezaji zinakuwa chini na droo ni ushindi wa kufurahia.

Tukumbuke hii wiki iliyopita kulkikuwa na pepo baya kwa timu kubwa

Arsenal kafungwa na New Castle,
Man city kabandikwa vibao na Bornemouth,
Liverpool kaponea chupuchupu kufungwa na Brighton,
Sisi tumetoa droo na Mashetani Wekundu,
Aston kafungwa na Spurs.
Timu zote zilizokuwa juu yetu zilipoteza points zote tatu isipokuwa Liverpool tu.
 
Kama Enzo Fernandez, Felix, Madueke, Fofana na Sanchez ni matakataka, basi tungesajili wachezaji bora kuliko wao, leo hii, saa hii FA ingebidi tu watukabidhi kombe na kusitisha iligi kwa sababu Chelsea ingekuwa timu hatari sana. Kila timu ina ups and down, kila mchezaji ana ups and downs. Kuna wakati kila mchezaji form yake iko juu na tunashinda mechi na mashabiki wa Chelsea kung'ara nyuso zao popote walipo duniani. Pia kuna nyakati form za wachezaji zinakuwa chini na droo ni ushindi wa kufurahia.

Tukumbuke hii wiki iliyopita kulkikuwa na pepo baya kwa timu kubwa

Arsenal kafungwa na New Castle,
Man city kabandikwa vibao na Bornemouth,
Liverpool kaponea chupuchupu kufungwa na Brighton,
Sisi tumetoa droo na Mashetani Wekundu,
Aston kafungwa na Spurs.
Timu zote zilizokuwa juu yetu zilipoteza points zote tatu isipokuwa Liverpool tu.
Well said lembu, ndio maana naendelea kusema msimu huu tunaenda vizuri ukilinganisha na msimu uliopita.

Timu kubwa ambazo zina makocha zaidi ya misimu 2 zinapoteza mechi sembuse sisi kichanga cha miezi 4.

Maresca anaendelea kukuza na kuboresha viwango vya wachezaji wachanga, kuna wachezaji James, Fofona, Lavia wametoka kwenye majeruhi ya muda mrefu bado wanajitafuta utimamu, Kuna wachezaji wanaendelea kucope na EPL.
 
Maresca anaendelea kukarabati bunduki, kwa sasa kuna spea ambazo tuliuziwa feki (Disasi, Badiashile), bunduki inapata moto na muda mwingine risasi haitoki (Mudyk), muda mwingine inajilipua yenyewe mkononi (Sanchez)

Hizo spea feki na mbovu anatakiwa aziondoe madirisha ya usajili na kununua spea original bunduki iwe imara.
 
Enzo na Felix hawakuanza jana nao umewataja
Enzo jana angeanza ubunifu ungekuwepo. Udhaifu wa Enzo uko kwenye kufanya manmarking, akienda mbele anajisahau kurudi haraka kusaidia kukaba

Enzo na Felix hawakuanza jana nao umewataja
Enzo jana angeanza ubunifu ungekuwepo. Udhaifu wa Enzo uko kwenye kufanya manmarking, akienda mbele anajisahau kurudi haraka kusaidia kukaba.
Screenshot_2024-11-04-10-29-24-03_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-11-04-10-31-21-07_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Tuseme ukweli mudryk kipaji cha mpira, kila siku zinavyozidi kwenda anazidi kunikatisha tamaa kwamba atakuja kua mchezaji hatari
 
Maresca anaendelea kukarabati bunduki, kwa sasa kuna spea ambazo tuliuziwa feki (Disasi, Badiashile), bunduki inapata moto na muda mwingine risasi haitoki (Mudyk), muda mwingine inajilipua yenyewe mkononi (Sanchez)

Hizo spea feki na mbovu anatakiwa aziondoe madirisha ya usajili na kununua spea original bunduki iwe imara.
Mudrik mbona mapema sana kulikon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom