Sasa mkuu hivi kweli unaweza kumfananisha huyo na Caicedo
Sasa mkuu hivi kweli unaweza kumfananisha huyo na Caicedo
Sanchez anauma na kupulizaGame ya jana inaonesha tunaouwezo wa kwenda toe to toe na tukadominate dhidi ya big boys, na siyalemaswala ya kupaki bus na kumsubiri mpinzani.
All in All tunamove katika right direction
Touches za kwenye opposition box ya Chelsea jana ndio touches kubwa tangu ligi ianze msimu huuHawa umbwa tuliwakamata kila mahali, refa tu ndio alitunyonga next tym wasidhani refa atawabeba tena maninaa.
View attachment 3131242
Mudrky hata benchi hayupo..nadhani ni fitnessJana Liverpool hawakucheza ule mchezo wao wa open play. Walijua tungewaumiza ile mbaya. Slot aliipanga timu vizuri kupaki mabasi na kucheza kwa uangalifu sana. Ulinzi aliofanyiwa Palmer na Sacho form yake jana ilikuwa ya hovyo otherwise ile mechi jana tungeshinda kwa urahisi mno./ Jana Mudryk angechezeshwa anakuwaga na form nzuri akicheza dhidi ya Liverpool halafu ile pace yake na speed TAA asingeiweza kabisa. Naamini pia jana Nkunku angecheza angetumbukiza zaidi ya lile la Jackson
Mmeanza visingizioJana Liverpool hawakucheza ule mchezo wao wa open play. Walijua tungewaumiza ile mbaya. Slot aliipanga timu vizuri kupaki mabasi na kucheza kwa uangalifu sana. Ulinzi aliofanyiwa Palmer na Sacho form yake jana ilikuwa ya hovyo otherwise ile mechi jana tungeshinda kwa urahisi mno./ Jana Mudryk angechezeshwa anakuwaga na form nzuri akicheza dhidi ya Liverpool halafu ile pace yake na speed TAA asingeiweza kabisa. Naamini pia jana Nkunku angecheza angetumbukiza zaidi ya lile la Jackson
Mlevi huyo.Sasa mkuu hivi kweli unaweza kumfananisha huyo na Caicedo
Yaan madueke ni mchezaji hatarii???!!!Hivi unajua kwanini ule upande wa Madueke walikuwa wanakaba wengi na si kwa upande wa Sancho? Ni kwasababu ndio upande wenye uhatari na goal nyingi zimezalishwa kupitia upande ule ndio maana kocha wao akaja na hiyo plan, kama kocha wao mwenye vyeti vya ukocha mwenye kujua mpira anamuheshimu Madueke huo ujasiri wa kumuita Madueke ni takataka unautoa wapi? So walichofanya liva ni vitu viwili tu kumkaba Palmer na kumuwekea watu wengi Madueke ndio maana hatukutengeneza nafasi nyingi za goal pamoja na yote hayo still Madueke akaperform vizuri Palmer ndio akatepeta lakini sikuoni ukimsema Palmer.Kama unajua mpira vizuri utagundua kuwa wachezaji wetu hatari ni Palmer na Madueke ukiwakaba hawa kisawasawa umeikamata Chelsea kwa asilimia 80
Ulinzi aliofanyiwa Palmer umetukumbusha ulinzi aliofanyiwa Hazard na Herrera vs Man uJana Liverpool hawakucheza ule mchezo wao wa open play. Walijua tungewaumiza ile mbaya. Slot aliipanga timu vizuri kupaki mabasi na kucheza kwa uangalifu sana. Ulinzi aliofanyiwa Palmer na Sacho form yake jana ilikuwa ya hovyo otherwise ile mechi jana tungeshinda kwa urahisi mno./ Jana Mudryk angechezeshwa anakuwaga na form nzuri akicheza dhidi ya Liverpool halafu ile pace yake na speed TAA asingeiweza kabisa. Naamini pia jana Nkunku angecheza angetumbukiza zaidi ya lile la Jackson
Hakuna mchezaji aliyecheza vizuri dimba la kati kama Caicedo. Karudie kuangalia vizuri
Caicedo aongezewe mshahara wa Mudyk.Hakuna mchezaji aliyecheza vizuri dimba la kati kama Caicedo. Karudie kuangalia vizuri
Bado kwenye world class goalkeeper, hapo ndio tumechwa mbali na washindani wetuCaicedo aongezewe mshahara wa Mudyk.
Naangalia marudio ya mechi hapa. THE BLUES imeimprove aisee. Kocha azidi kuaminiwa na kupewa muda zaidi kujenga timu ya makombe.
Anatokea mtu anakwambia Madueke ndio kacheza vizuri, aisee!!Hakuna mchezaji aliyecheza vizuri dimba la kati kama Caicedo. Karudie kuangalia vizuri
Kuna watu wamekaaaa na chuki sanaHakuna mchezaji aliyecheza vizuri dimba la kati kama Caicedo. Karudie kuangalia vizuri
Mech 8 ana goal 5 kwanini asiwe hatari na ni mzuri kwenye 1 V 1 na kuforce mashambuliziYaan madueke ni mchezaji hatarii???!!!
Jamaa mpira hajuiHakuna mchezaji aliyecheza vizuri dimba la kati kama Caicedo. Karudie kuangalia vizuri