Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hizi ligi za matopeni ndio size yenu
Ngoja uje ulete pua zako pale darajani ndio utakiona cha mtema kuni , tutawanyoosha si chini ya goli 4 ,
Hii Chelsea ni ya kugawa dozi nzito nzito , usiombe kukutana na sisi
Utajuta ewe shabiki lia lia wa kuku kishingo
 
Ngoja uje ulete pua zako pale darajani ndio utakiona cha mtema kuni , tutawanyoosha si chini ya goli 4 ,
Hii Chelsea ni ya kugawa dozi nzito nzito , usiombe kukutana na sisi
Utajuta ewe shabiki lia lia wa kuku kishingo
Mnacheza na timu za matopeni conference huko poor chelshit
Wenzanu tupo kwenye ligi za kiume UEFA na tunatembeza kipigo
 
Renato Veiga pia ni hazina , kiufupi Chelsea tuna watu kwa sasa , tunahitaji makombe , kocha asiltlete visingizio mwisho wa msimu , trophy mezani
 
Kwa watu humu wanamsemaga Nico Jackson nadhani umejionea kwanini Jackson anaanza badala ya Nkuku, Nkuku ni finisher mzuri sana kuliko Jackson but kazidiwa vitu vingi na Jackson hivyo vitu ndio mpira wa sasa unataka zile chance anazopata hazijagi kwa bahati mbaya ni kwasababu ni mzuri kwenye kujiposition, ana press sana na uhusika wake wa mchezo ni mkubwa ukilinganisha na Nkuku
Mkuuu hapo ssa toa maoni yako KDH kwa upande wangu kache@a vzr sana
 
Chelsea UECL matches
1) Chelsea vs Gent: 4-2 (3pts)
2) Heidenheim vs Chelsea: 28 Nov 2024
3) Astana vs Chelsea: 12 Dec 2024
4) Chelsea vs Shamrock Rovers: 19 Dec 2024
5) Panathinaikos vs Chelsea: 24 Oct 2024
6) Chelsea vs Noah: 7 Nov 2024
 
Joao Felix inabidi apunguze ufather kwenye uchezaji wake asipobadilika Epl itamshinda but Mudryk kapiga kazi imani yangu kwake imerudi na kwa mpira wa huyu kocha ufit sana style playing yake, kwa mpira wa Veiga kwa kweli benchilwell atafute tu team
 
Huko nyie ni kama wale wanafunzi wanaenda shule kila siku wanabeba madaftari yote ila wanafeli mtihani 😁😁 kuwa uefa afu kombe huchukui lanini sasa sifa za kijinga
Hebu endelea kuangalia uone wanaume wa shoka wanavyobeba UEFA,EPL na makombe mengine madogo msimu huu ambayo nyie hamuwezi hata moja
 
Mchezaji kupewa mpira na kupoteza ama kuporwa Kilaini namna ile huwezi kusema eti haendani na mfumo wa kocha. Ule ni utakataka wake tu, sijawahi mkubali Felix ata ile mara ya kwanza sikuona cha maana kutoka kwake.

Kwa mechi ya jana mchezaji kama Felix alipaswa kuwa wa moto sana cha ajabu analeta utakataka, kwa uchezaji ule EPL hato iweza.
Joao Felix ana shida gani, mbona haendani hata na mchezaji wa mil 10?
nI mayai sana
mipira almost 70% aliyopewa alipoteza kidhaifu na kilaini juana.
Au mfumo wa Marseca hauendani naye nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom