Leo vipi watachomoka mbele ya BrightonChama la wana tunakiwasha leo tena
Brighton wameshakuwa mnyonge wetu tunajipigia tuLeo vipi watachomoka mbele ya Brighton
Sema nini Madueke hatabiliki akiamua kukupa game anakuwa fire sana. Reason ya kwanini ya Madueke hua anaanza ni kwasababu pia ana offer kwenye ukabaji akiwa hana mpira, nadhani ndio kitu kilichoongezeka kwa MaduekeMadueke, Madueke, Madueke.
Siku kocha akimjua vizuri huyu dogo atajilaumu ni kwa nini anamuanzisha. Huyu dogo ana kipaji japo sio cha kucheza Chelsea. Ila bado hajielewi
Kwa kweli hapa sijamuelewa kochaTOSIN anaanzaje bechi Sasa?
Tosin + Colwil proved best combo