Nicolas Jackson anafanya vizuri katika kila nyanja ya soka lake uwanjani lakini si katika upigaji wa mashuti langoni. Yuko serious wakati wa kupiga chenga, kucheza 1v1, kupiga pasi, na kukimbia na mpira hata akiwa hana mpira, lakini anapopiga shuti golini, kijana huyo hayuko serious kiasi hicho. Nilidhani angeimarika msimu huu lakini sioni hilo. NDIYO, kwa sababu ya kile nilichoashiria kwenye maoni haya, bado Jackson ni mchezaji bora kwenye mstari wa mbele lakini kwa umakini, anahitaji kujiboresha katika "kupiga mashuti golini" kabla hajachelewa kufanya hivyo.
View attachment 3097039